Nipo njiapanda, msaada wenu wanaJF

Very simple!! Uza gari then ununue boda boda kadhaa..wape vijana hizo boda boda kwa mkataba wa 10k per day,huku na wewe ukiwa unatafuta mishe za kufanya.

Note; Hizo hela za boda boda sio za kunywea pombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfate mancity ashinde na goli mbili against Tottenham weka hiyo milion unapata milioni mbili

Jumanne kuna UEFA na Europa

Ndani ya week mbili unaingiza milion 3
 
Mfate mancity ashinde na goli mbili against Tottenham weka hiyo milion unapata milioni mbili

Jumanne kuna UEFA na Europa

Ndani ya week mbili unaingiza milion 3
duuh mkuu, aya bwana
 
duuh mkuu, aya bwana
mkuu hela ya kamari haina longo longo, ukipata umepata, ukikosa umekosa do your math well kutafuta namba za uhakika
japo hakuna hela rahisi, kwenye uwekezaji kibongobongo lazima uteseke sana
nchi ngumu sana hii
 
Igeuze hio gari uwe kama dereva taxt hio million moja utaitumia kuongezea mafuta utakuja kunishukuru 🙏
 
Hiyo milioni tengeneza business card kwa 40,000 kanunue manukato mazuri 50,000 ukipata perfume inaitwa tool Box itapendeza zaidi, nunua barakoa safi tano za light blue na nyeupe 5,000.Sanitizer 10,000.Then 5000 kanyoe usipauke. Alaf 50, 000 weka mafuta kwenye gari zunguka ofisi kubwa unazozijua muone mtu wa mapokezi mwambie wewe unatoa usafiri binafsi kama anamjua mtu hapo ofisini ambaye huwa anakodi tax mara kwa mara Kwani wewe unatoa huduma hiyo, kwa bei nafuu. Wagawie hao watu business kadi, uwaambie unatoa huduma ya usafiri binafsi kwa uaminifu,. Kuzunguka kugawa hizo business cards hadi kupata wteja na mahitaji hapo juu matumizi hayatazidi 400,000.Baada ya mwezi nenda TRA kabadilishe plate number ingia Uber. Kama wewe ni muoga wa kwenda maofisi mkubwa kagawe hizo cards chuo chochote ila jihadhari na mambo ya madem Kwani ukimtogoza tuu gari inakuwa yake na mashost zake biashara inakufa. Usitafute kijiwe cha kudum, fanya Kazi kwa sim kwanza. Kila la kheri ukipata hela unikumbuke
 
asante sana mkuu, ubarikiwe sana kwa ushauri wako.
 
anza biashara ya mtumba au chakuala, kwa kutumia gari yako. Tafuta sehemu ajiri dada awe anapika chakula then mnaenda kuuza kwenye maofisi makubwa, au mtumba unaweka kwa gari yako vizia wakati wa mchana au jioni then thanx me later in the name of Jesus
 
Nilisoma Bsc in computer science mkuu
Kazi hyo haikuwa mpango wa Allah, hasa kama ulifanya kwa uangalizi wa jicho la Mungu so fear not another chance iz coming but hold for a while
 
itoshe tu kusema.hiyo gari haina kaz kwa Sasa ukiikumbatia inaenda kula hiyo 1M dakika 0 kama huna nia ya kufanya Uber uza haraka sana na ufanye biashara unayoweza kuimudu na uisimamie mwenyewe
 
ubarikiwe sana mkuu
 
itoshe tu kusema.hiyo gari haina kaz kwa Sasa ukiikumbatia inaenda kula hiyo 1M dakika 0 kama huna nia ya kufanya Uber uza haraka sana na ufanye biashara unayoweza kuimudu na uisimamie mwenyewe
asante kwa mawazo yako ndugu yangu
 
Kijana, sajili gari lako kwenye kampuni za Uber, bolt, taxify na little ride. Kwa kuwa huna ajira rasmi ni vema uendeshe mwenyewe, ukipata ajira inaliopa vizuri uza Hilo gari na uendelee na ujenzi.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…