Nipo njia panda



Amelia pole sana .. this is the true him resurfacing .. guess you still have a lot to learn from him

You better show him your stand now otherwise ukikubali from the beginning then thats it you have no time to raise your head again kwani the next step ni beating
 
Kwakweli Invisible no doubt na bora uendeleee kuwa invisible mkuu,wewe lazima uwe qualified counsellor ila ndio safi.

I hope dada yetu atakua amepata auheni sana baada ya kupata maoni yako.
 
sasaaa Amelia pole tu endelea kuomba Mungu na kumheshimu mumeo...
 
Oa wewe! Usiogope elimu ya mwanamke. Usiparamie wanawake, tafuta mke. Wanawake ni wengi lakini wa kuwa mke ni mmoja naye akija huna ujanja huo wa Mwana-FA! It's the matter of time.

Mkuu unaona sasa ishu hii ya Amerie yeye hataki kujishusha ndo maana jamaa anakuwa mbogo.Lakini akijifanya mjinga mambo yanakuwa shwali kabisa.
Lakini ni wachache sana ambao wana roho za kujishusha lakini ukipata mwanamke mwenye Masters au PHD na kwendelea huko wewe una kabachara au kadiploma mkuu walahi nyumba itakuwa ndogo hapatoshi.....mmh mimi bado nipo nipo kwanza nyie tangulieni kwanza...
 
Amelie Pole sana na hongera kwa kupata ushauri.
Kwa upande wangu kama ningekuwa nikupe ushauri ningepata wakati mgumu SANA, au ningekupa ushauri kwa kurefer kwenye incidence nyingine. sababu ni kwamba siamini kama kutofautiana siku moja tu tena kwenye kitu kidogo ndio ingepelekea wewe uombe msaada wa mawazo unless narudia UNLESS kama kuna vituko vingine vimetokea.

kama kweli mnashare kuanzia password, simu, pin card, puk card na vitu vingine vya namna hiyo huoni kuwa alikuwa na HAKI YA KUZUIA VITU VYENU visitumike pasipokuwa na ridhaa ya pande zote mbili?

Vipi wewe na yeye nani ana kipato zaidi na katika kutoa misaada uliyoisema nani anatoa zaidi na kwa upande wa nani?
NI HAYO TU.
 

Ndugu mpendwa hapa swala sio kujishusha, ni kwamba mtu ameamua kutafuta ushauri wa haki yake. Masters au ukapuku (no education)haviingiliani na haki ya mtu hata siku moja. You have your rights with you everytime. Ina maanisha ok umeo Phd na wewe Diploma, then Phd akakutwanga mwiko kichwani pwaaa! ukakudhuru (faint or colapse), you mean hutatafuta your rights bcoz she is Masters. Tafuta MKE umeshaambiawa and with time, marriage has its respects too. Unless may be you have problems also. All the best lakini.
 

Thank you!!!!
 

Invisible!
Hii imetulia sana. Nadhani wengi humu JF watafaidika na ushauri huu wa kina.
 

mumeo anakabiliwa na tatizo la ugonjwa wa wivu yaani ana wivu kupita kiasi. Tena wivu wenyewe si ule wa maendeleo ! Wivu uliochanganyika na roho mbaya ! Kaanae chini mueleze kwa utaratibu mno. Tena siku ambayo unaona anafuraha ! Pole sana !
 
Kwakweli Invisible no doubt na bora uendeleee kuwa invisible mkuu,wewe lazima uwe qualified counsellor ila ndio safi.

I hope dada yetu atakua amepata auheni sana baada ya kupata maoni yako.

Ni kweli kabisa mawazo yaliyotolewa lazima yataleta matunda mazuri. wasiwasi wangu ni mmoja. Kwenye game kuna two housemates( mume+ mke), Sasa mmoja amehisi sheria za game hazifuatwi vizuri au hana hakika na rules za game. Kajitahidi kucheza kaona analemewa, akaomba msaada kwa muamuzi.

Then refa/ muamuzi anamchukua huyo mmoja na kwenda kumuelekeza vizuri sana masharti au sheria za mchezo na jinsi ya kucheza bila kumdhuru mwenzie. Je kweli hilo game nitakuwa Fair? nini kifanyike? ushauri mwingi umetolewa kwa dada, sasa jamaa naye si anahitaji dozi? tutampata wapi tumpatie time-out ili naye apate mawili matatu?

Some men do take advantage of their wives. akiona mke amechange na kuanza kunyenyekea/ good behavior, sasa ndio kabisaaa anaona wewe bwege mtozeni !! subiria majibu yake sasa.

Ni mawazo tu msinipige mawe
 
Amelia, hakuna jambo zuri japo gumu kama kujadiliana kabla, baada kuhusu jinsi ambavyo mgependa mahusiano yawe na ni nini mnaweza kushirikiana pasi mipaka na ni nini na wapi kuna mipaka.

Wewe na mumeo mmetoka kwenye mazingira na malezi tofauti, hivyo hamna budi kujaribu kuleta mahusiano yenu kwenye level ambayo itawawezesha nyote kuhusiana pasipo mmoja kuona anaonewa au anadharauliwa.

Maswala ya pesa yamekuwa magumu sana katika mahusiano na nyumba nyingi, hivyo ni vizuri mkayaangalia kwa undani na mkayatolea uamuzi thabiti na mzuri kwa kuzingatia hali zenu halisi.

Dunia imebadilika na mahitaji yamekuwa makubwa na mengi hivyo ni vizuri pia kukubali kusaidiana kuyaendesha maisha yenu kukawa ni moja ya lengo lenu. Kwa kufanya hivyo ninaamini mtafanikiwa kufikia makubaliano wa jinsi ya kuendesha nyumba/ndoa yenu.

Ndoa ikiwa na mpangilio mzuri na maelewano ni jambo zuri na utaliifurahia.
 


Nadhani mumeo bado hajakua, ameingia kwenye ndo na lile andiko 'Mume ni kicha cha Mke'. Nadhani you need to help him, ndo si utumwa, ndoa si ubawana na utwana.

Mkumbushe kuwa Kichwa bila mwili si kichwa na hakina maana. Kichwa bila mwili hakina uhai, kichwa kinaonekana kichwa kwa kuwa kimebebwa na mwili na ukweli ni kuwa kichwa hakiwezi kwenda popote pasipokuwa na mwili.

Nadhani mnahitajika kuwa na joint bank akaunti itawasaidia kuondoa mizozo isiyokuwa na maana , hiyo itawasaidia kuwa na equal say and decision kwenye masuala ya pesa. Nakwambia kuwa ikiwa mtakuwa sawa kwenye maswala ya pesa basi mmevuka kikwazo muhimu sana katika ndoa na vikwazo vingine vitakuwa si vigumu kama cha pesa.
 
mgiriki njooo uone hiii huku... mshana jr mambo hayo, MO11 njoo ukenue basi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…