piga ua mkweree lazima alisukuma ngozi!
Unasema? sijakuelewa Mpwa
halafu membe kavaa sandals utadhani anaenda chooni. Hawana hata aibu wanaponda raha huko, huku wananchi maisha ndiyo yanazidi kuwa magumu.
View attachment 37875
Dah public figure in official matters with sandals! Hawa kweli wameenda kutalii!Halafu Membe kavaa sandals utadhani anaenda chooni. hawana hata aibu wanaponda raha huko, huku wananchi maisha ndiyo yanazidi kuwa magumu.
View attachment 37875
Halafu Membe kavaa sandals utadhani anaenda chooni. hawana hata aibu wanaponda raha huko, huku wananchi maisha ndiyo yanazidi kuwa magumu.
View attachment 37875
piga ua mkweree lazima alisukuma ngozi!
Huyu dada itakuwa usiku wa jana yake alimgongea Membe akidhani anaweza kazi mambo yakashindikana lakini alipogonga chumba cha pili akakunwa vilivyo sasa hapa anamuangalia Membe na kuwaza huyu muafrika wa wapi hawezi kazi ?View attachment 37873
Rais akiagana na dada aliyekuwa mhudumu wake katika hoteli hiyo.
Nimeshindwa kuelewa mbona huyo dada kamtazama membe kama ana ugomvi naye?
Mzee wa Rula,Ni kama Membe anafahamu kitu fulani lakini anamezea na huyo dada anafahamu Membe anajua issue hiyo hivyo anamkazia macho kama msisitizo. Jamani msinisute je wewe nawe unasemaje?