Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,304
- 939
mtoa mada yawezekana upo sahihi ktk kijiji nilichotokea mimi tuna sekondari mbili za kata na mbili za binafsi ndani ya kijiji na sio kata
huko ndiko yanapatikana mazishi ya ccm na huwa hawasikilozagi porojo wanachagua wapigakazi tu
Hawa jamaa ni noma aisee nilijaribu kufanya research nikagundua kuwa zile courses za sience UDSM, MUHIMBILI, BUGANDO, KCMC na zile COURSES ZA MAMBO YA FEDHA UTAKOMA wamejaa balaaa. Haya majamaa yanachangishana sana katika kusomesha
Ukienda kondoa kila mtaa masjid.
mtoa mada yawezekana upo sahihi ktk kijiji nilichotokea mimi tuna sekondari mbili za kata na mbili za binafsi ndani ya kijiji na sio kata
Serikali hakuna walichopendelea.. Hapo unaona miaka ya 50's huko watu wanajenga barabara, vituo vya afya na shule wakati huo babu na baba yake ZZK wanawinda kima msituni..
Mwaka 1959, 1960 Wachagga wakawa wanadai Katiba Mpya ya Serikali ya Uchagga, wakati huo babu na baba yake ZZK hajui hata katiba ni kitu gani.. Harakati za Siasa Uchaggani hazikuanza leo..
Miaka ya 60 upto 70 tayari Umeme na Barabara nzuri, magari ya watu binafsi havikuwa ishu sana kule mgombani, maji safi ya kunywa kijijini kwangu yanatoka kwenye tap bila hata kulipia senti. Nyerere akaogopa hiyo maana tayari wakati huo wachagga walikuwa washakamata pesa nyingi. Akaleta Azimio la Arusha, watu wakafirisiwa, inauma sana, mimi wakati huo naambiwa babu yangu alikuwa analima Ngano West Kilimanjaro na Karatu huko, anaagiza mafuta kutoa Asia anafunga mzigo anaenda kufanya Biashara Zimbabwe na Namibia huko wakati huo babu yake ZZK wanajifungia ndani saa 12 jioni kuogopa Sokwe.. Aise bila Nyerere kuleta lile Azimio si ajabu Kaskazini tungeshakuwa na nchi yetu..
wachagga wanapenda pombe kuliko kitu chochote kile hawana lolote
Humu ndani kuna watu wa kuwaonea huruma Maana naona kuna hadi ma dead man!
Moshi vijijini mbunge ni Cyril Chami kutoka ccm hunaposema wachagga ni wapinzani Una maanisha nini ?kata zote za kibosho madiwan ni wa ccm![]()
Acha matusi karne hii unashangaa shule mbona kwa sasa shule za kata ni mikoa yote!
Kwakwel....wachaga hawaitaki ccm ....tangu zaman ndo maana kwao maendeleo yapo....sio lazima serekali iwajengee....binafsi nimefika Rombo kuna shule karibu kila kijiji...nyingine wamejenga gorofa kabisa...na ccm kwao ni sumu..nashangaaa....Iramba walivyo maskini..ila wanaipenda ccm
Wachagga mimi na wajua ni waoga na wabinafsi sana na hawana chochote kuanzia akili mpaka mipango ya biashara sema kutokana na kubebena,wizi na ulozi na ukabila hawana chochote
Iramba inapatikana mkoa gani mkuu nijuze?
Sogea sogea hadi machame,kuna kijiji kinaitwa NRONGA wananchi wanaweka lami wenyewe
Mkuu ni majuzi kati hapa umepitishwa mpango mkakati kila kata kuwe na chuo cha ufundi VETA na kwa baadhi ya vijiji kazi imeshaanza,,,,,,na watia nia wote wa ubunge wanalijua hilo....wakati kuna mikoa na wilaya hivyo vyuo havipo....kubalini kataeni kuna jambo la kujifunza kwa hawa watu.....mnaoponda ni vyema mkaondoa pamba masikioni....
Ha ha haaa.... Ume mshambulia Zio vikali sana, ila cha kuongezea wakati sehemu nyingine za Tanzania zikilia na uhaba wa bidhaa za viwandani miaka ya 1980's watu wa Kilimanjaro walikuwa wanazipata kwa urahisi via magendo tokea Kenya, na kipindi hicho wengine wakikomaa kulima maindi na kuuza kilo Tsh. 55 kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa Tsh 1000. Na Mungu akiwabariki wote wakavuna gunia 20 nadhani mkulima wa maindi atapata pesa kidogo saaana kuliko yule wa kahawa. Na cha ziada wengine wakifuata maji makilomita sisi tulikuwa tuna maji safi kwenye mifereji yetu iliyo chimbwa na babu zetu miaka ya 1890's.Serikali hakuna walichopendelea.. Hapo unaona miaka ya 50's huko watu wanajenga barabara, vituo vya afya na shule wakati huo babu na baba yake ZZK wanawinda kima msituni..
Mwaka 1959, 1960 Wachagga wakawa wanadai Katiba Mpya ya Serikali ya Uchagga, wakati huo babu na baba yake ZZK hajui hata katiba ni kitu gani.. Harakati za Siasa Uchaggani hazikuanza leo..
Miaka ya 60 upto 70 tayari Umeme na Barabara nzuri, magari ya watu binafsi havikuwa ishu sana kule mgombani, maji safi ya kunywa kijijini kwangu yanatoka kwenye tap bila hata kulipia senti. Nyerere akaogopa hiyo maana tayari wakati huo wachagga walikuwa washakamata pesa nyingi. Akaleta Azimio la Arusha, watu wakafirisiwa, inauma sana, mimi wakati huo naambiwa babu yangu alikuwa analima Ngano West Kilimanjaro na Karatu huko, anaagiza mafuta kutoa Asia anafunga mzigo anaenda kufanya Biashara Zimbabwe na Namibia huko wakati huo babu yake ZZK wanajifungia ndani saa 12 jioni kuogopa Sokwe.. Aise bila Nyerere kuleta lile Azimio si ajabu Kaskazini tungeshakuwa na nchi yetu..
Wachagga mimi na wajua ni waoga na wabinafsi sana na hawana chochote kuanzia akili mpaka mipango ya biashara sema kutokana na kubebena,wizi na ulozi na ukabila hawana chochote
Hongereni sana jamani.