Nipo kwenye wakati mgumu kwenye mapenzi

Nipo kwenye wakati mgumu kwenye mapenzi

Habar wadau, Nina girl friend wng ambae tumetoka mbali inafika miaka minne toka tuko chuo, sasa nipo wakati mgumu baada ya kupata kazi na kukutana na demu mwengn ambae alinipenda nakujikuta nimeazisha nae uhusiano, na kitu cha kuniumiza zaid huyu demu wng mpya ni mkali zaid ya yule wa mwanzo, na anataka tuishi wote kwake alipopanga, sasa girl frnd wng wa kwanza akija inakuwaje yeye anaishi zanzibar..... naomba ushauri wadau

Ulafi na tamaa ni kitu kibaya sana.

Zote zafanana bali upendo wa kweli unakumbatia na kuheshimu hazina moja tena moja tu. Mengine ni majanga na matatizo.
 
Habar wadau, Nina girl friend wng ambae tumetoka mbali inafika miaka minne toka tuko chuo, sasa nipo wakati mgumu baada ya kupata kazi na kukutana na demu mwengn ambae alinipenda nakujikuta nimeazisha nae uhusiano, na kitu cha kuniumiza zaid huyu demu wng mpya ni mkali zaid ya yule wa mwanzo, na anataka tuishi wote kwake alipopanga, sasa girl frnd wng wa kwanza akija inakuwaje yeye anaishi zanzibar..... naomba ushauri wadau

hujaripoti chuo tu?
 
Habar wadau, Nina girl friend wng ambae tumetoka mbali inafika miaka minne toka tuko chuo, sasa nipo wakati mgumu baada ya kupata kazi na kukutana na demu mwengn ambae alinipenda nakujikuta nimeazisha nae uhusiano, na kitu cha kuniumiza zaid huyu demu wng mpya ni mkali zaid ya yule wa mwanzo, na anataka tuishi wote kwake alipopanga, sasa girl frnd wng wa kwanza akija inakuwaje yeye anaishi zanzibar..... naomba ushauri wadau

kumbe we adam? angalieni avatar zakuweka aisee!!
 
Bado haujajua mapenzi nahisi tamaa za mwili bado zinakusumbua, ukishajitambua utajua yupi ni mkali kati ya hao wawili na utafanya uamuzi hautachanganyikiwa tena

muulize umri wake mkuu.. atakua kaanza kazi juzi... mshahara bado unamsumbua huyu
 
Kwanin uliingia kwenye mahusiano na mwingine wkt unae? Any way.
Uzuri sio sura,sura utaiangalia kabla ya kuanza kukaa nae ukishamuweka ndani hutaangalia sura tena ni tabia tu,wewe ndio unawajua wote angalia tabia usiangalie sura,Lasivyo utajuta mbeleni.
 
Huyu hajielew anataka nini, tukimuuliza ukali wa huyo mwanamke uko kwenye nini tutaishia kusikia sura, amewezaje kukaa na mwanamke miaka 4 ambaye sio mkali?

nisaidie na wewe kushangaa mkuu..
 
hahaha ushauri?

waalade waalade aaaa lalalala baby waaalah.

kanisave anko Ali.

hivi Simba na Yanga Jana walitoka ngap ngap?
 
Kuwa na msimamo na huyo wa awali.acha kutapatapa wazuri bado wanazaliwa na wataendelea kuzaliwa.
 
Hakuna kitu kibaya kama kuwa chanzo cha mgogoro ambao utakuwa chanzo cha utengano baina ya mtu na mpenzi wake,pia hakuna dhambi mbaya ktk mahusiano kama dhambi ya usaliti kwa yule akupendae kwa dhati! ipo siku utajuta kwa unachotaka kukifanya!
 
Back
Top Bottom