Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Mkuu mke hapatikani kwa kutangaza mshahara na gari ulilonalo, kama unatafuta girfriend au DEMU wa kupoozea sawa maana atafuata hizo zana za maangamizi unazozitaja na baada ya muda mtaboana maana kila mtu atakuwa kafuata interest zake na yeye akikinai MSHAHARA WAKO NA KUPANDA GARI LAKO atasepa, jitahidi kujichanganya na watu hasa kwenye sherehe, misiba, kanisani sehemu zenye mmikusanyiko ya watu mchanganyiko naamini one day utafanikiwa kupata mwenzi wako anaye kufaa ila si kwa vigezo vyote unavyovihitaji wewe maana BINADAMU si wakamilifu, lkn kwa asilimia 75-80 unaweza kupata na hizo tofauti nyingine ndo zinazofanya wewe na yeye muishi pamoja coz mtasaidiana kuzitatua. jitahidi zana kuzuia tambo zako za GUD LIFE maana si kitu lizuri kutoa ahadi ahadi nyingi sanaa wakati wa uchumba halafu ukishaoa ukikimbushwa unaanza si tayari nimeshakuoa sasa unataka nini, kwa hiyo jitahidi kamanda wetu utafanikiwa tuu