Wadau,kuna dada mmoja nilizaa naye mtoto mmoja,tukaseparate,yeye akaolewa na jamaa mwingine na yupo kwenye ndoa bado,cha ajabu huyu dada eti ananitaka nimpe mimba azae mtoto mwingine na mm,hapo vp jamani?analalqmikq sana kuwa tumbo humuuma sana anapokuwa mp.anasema dawa n kuconceive,mnasemaje wadau,nipige??