Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
ushabiki/upenzi umehamishia wapi? chini,lager...zamani mimi nilikuwa Yanga.Siku hizi nimeachana na ushabiki/upenzi wa timu,michosho tu.Na zile kamati zao za ufundi zinaniudhi kama nini,badala ya kucheza soka wamekazania sangoma!