Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
Wanandugu natumai mpo safi kwa uwezo wa mungu.wazee nipeni ujanja wa namna ninavyoweza kupiga simu ktk pc yangu,dashbord za huawei zile za zamani zilikuwa na option hiyo ila za sasa hazina hiyo kitu,kama kuna yeyote anaweza kunipa muongozo wa namna ya kupata dashbd yenye uwezo wa kupiga au kupokea simu nita furahi.