Mkuu kwanini utumie identity ya watu wengine kuomba msaada? Si useme tu wewe ndiye unahitaji? After all, humu tunatumia fake IDs, unaogopa nn?Hodi hodi humu ndani naomba mnipe siri ya namna yakufanya tendo la ndoa mzunguko zaidi ya mmoja, yaaani kupiga mara mbili au tatu inahitaji ujuzi au vitu gani?
Mkinipa hii siri natumaini mtakuwa mmewasaidia wanaume wote wa Dar es salaam maana niliwasikia wakitafuta maufundi haya karibuni uwani kwa mchango wenu.