kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 621
Hodi hodi humu ndani naomba mnipe siri ya namna yakufanya tendo la ndoa mzunguko zaidi ya mmoja, yaaani kupiga mara mbili au tatu inahitaji ujuzi au vitu gani?
Mkinipa hii siri natumaini mtakuwa mmewasaidia wanaume wote wa Dar es salaam maana niliwasikia wakitafuta maufundi haya karibuni uwani kwa mchango wenu.
Mkinipa hii siri natumaini mtakuwa mmewasaidia wanaume wote wa Dar es salaam maana niliwasikia wakitafuta maufundi haya karibuni uwani kwa mchango wenu.