MUNISHI BOY
Senior Member
- Sep 13, 2017
- 143
- 117
unataka bao nyingi kwamba ni mgodi unavyochimba ndo unapata madini asee
Na huo mwili utafia kifuani mkuuNina kitambi, sifanyi mazoezi, nakunywa sana pombe hadi naitwa Kitwanga, nakula sana wali,ugali na chips na chapati.
Lakini ninapiga zaidi ya 4 mara ya mwisho jana nimepiga 3 mzuka za kibabe..
Siri yangu ni moja tu "NAKUNYWA MAJI ZAID YA LITRE 4 KWA SIKU"..
Unachoshindwa ni nini brother? Yaani jogoo haamki au unishia dk 3 unashusha mzigo?mimi nina mpenzi ambaye nampenda sana ila ajabu nikiwa kwake mambo hayaendi na nafanya kanuni zote ila nashindwa ,najicontrol nisiwe na stress nakula vyakula vya asili,mazoezi ya kutosha lakini nikienda kwake bado nashindwa ajabu nikienda kwa mwingine nafanya ninavyotaka mm nisaidieni nifanyaje
KITWANGAANina kitambi, sifanyi mazoezi, nakunywa sana pombe hadi naitwa Kitwanga, nakula sana wali,ugali na chips na chapati.
Lakini ninapiga zaidi ya 4 mara ya mwisho jana nimepiga 3 mzuka za kibabe..
Siri yangu ni moja tu "NAKUNYWA MAJI ZAID YA LITRE 4 KWA SIKU"..