Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Hivi kwanini tuna vijimatege Fulani hivi ....nilijua peke yangu hahahahahhaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mrefu...japo wanasema vice versa is true but mwanaume mfupi bado ni changamoto kwangu!

Sister angu mrefu ila anapenda wanaume wafupi asee tumetofautiana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake warefu hawapendi wanaume wafupi na wanawake wafupi hawapendi wanaume wafupi kama wao!
Vipi na chura ni kama hiyo kwenye avatar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes...unainjoy sana kwakwel...hawa warefu wanajishongondoa sana...ss mm ndo najishongondoaga zaidi yaoπŸ˜‚πŸ˜‚
Mwisho wa siku mapenzi sio mashindano ya kuringiana. You need someone who feels for you. Someone who strives to make you smile! Sijisifii but personally i also do have that character. That sense of humor! Just finding ways to make a woman smile...always! Short guys have that all na wanajua kujali haswa!

Kesi ya matolu kuringa hio nina real life experience, nina mdogo wangu janki tu wa 21 year with 6ft now. Kafuga mindevu ukimuona ana mwili kama lebron vile na upara wake! Au madem wanavyokoma sasa. Habembelezagi yani hio biashara hafanyi! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Unakuta kademu kanazira badae kanarudi kujibembelezesha tena.
 
waoooh! there you are Mr Extrovert
 

😍😍😍😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…