Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 3,265
- 4,284
asanteYeah...wali na maugali sio poa kbs...ndo nataka kuanza week hii...!hongera kwakweli...
asanteYeah...wali na maugali sio poa kbs...ndo nataka kuanza week hii...!hongera kwakweli...
♂️


mkimaliza ya wafupi fungueni ya wembamba na mimi nitoe yangu ya moyoni
✓|
Yaani Kama Ni Gari Basi Wewe Ni Passo.🚗🚗😂😂 najikubali balaa, urefu wangu 152cm na uzito wangu usiozidi 40kg😘😘 basi naonekana kadogo dogo,kumbe mama flani
Sifa au Tabia mbaya za Wafupi.
1. Wabishi
2. Wajeuri na viburi
3. Wajuaji
4. Wana Wivu kupitiliza
5. Hawajiamini
6. Wanamdomo.
7. Wepesi kukasirika
8. Wengi sio wazuri sana.
9. Wengi ni wachawi.
10. Wanakijicho.
Sifa au tabia njema
1. Wanavipaji Hasa vya mdomo kama kuimba, kuongea na Vipaji vya kucheza.
2. Wanaakili za darasani na Maisha.
3. Wana **** ndogo na fupi hivyo wanafaa kwa wenye vibamia.
4. Wanajua mapambano hasa ya kulinda familia kwani sio rahisi kukubali kushindwa.
😂😂😂😂😂 unataka viboko sasa!Yaani Kama Ni Gari Basi Wewe Ni Passo.🚗🚗
Uniwie Radhi Tafadhari!!.😂😂
Yaani Kama Ni Gari Basi Wewe Ni Passo.🚗🚗
Uniwie Radhi Tafadhari!!.😂😂
😔😔😔 jmnBefore I didn't forget, watu wafupi uzazi wao upo karibu sana
Ukiwa na dem mfupi kwenye daladala jiandae kuambiwa "Mjomba mpakate mwanao"
ᴵᶠ ᵀᵃⁿᶻᵃⁿⁱᵃ ʷᵃˢ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ̇ ⁻ ⁱᵗ ʷᵒᵘˡᵈ ᵇᵉ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Anajua walivyo fit to size kwa bed!Mfalme Haroon Rashid alisema yeyote atakaempa talaka mwanamke mfupi amlete kwangu nimuoe
Nikajaribu na mimi wala sijajutia na sasa natafuta mbilikimo kama nikifanikiwa ntakuja kuwajulisha
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂 hana adabu huyu kijanahahahaha aise
Kumbe mama nawewe ni suzuki milango mi 3!?Mie najua wengi ni smart upstairs...ila tumezidi sana ujanja!...!pagumu tunapenya!lol
Nawe ni kirikuu?Mie najua wengi ni smart upstairs...ila tumezidi sana ujanja!...!pagumu tunapenya!lol
Sahivi unafaa kwa kuyajenga sasa. Mwanamke akishafikia stage ya kujikubali ujue amekomaa kiakiliMie najijua mfupi..ila nikikutana na wafupi mm nakuwa tall😂😂..bt mm mfupi...!kitu kama 156cm hv😢😢😢😢😢!miaka hii ndo nimejikubali...huko nyuma ilikua mwendo wa heels..sasa hv aku✌
Wana mapenzi ya kwel
Wakorofi
Wajuaji
Wabishi
Wanaongea sana
Wanaumizwa sana kwenye mapenzi
Viburi
Wabaya
Sent using Jamii Forums mobile app