Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,425
Sitaki....kumbe ndo unavyoniponda hivijamaan wee mbn kibonge
'A bad peace is better than a good quarrel '



Haya brother.... endelea kuririka..Ndiyo kelele sana Mara ooo uwiii Mara kelele



hamnaaa naanzaje sasa.184 cm kama 6 na usheeww ni mrefu mkuu
![]()


Sifa nyingine sikufuatilia sana mi niliangalia usumbufu kwenye kugegeda tu, wanaita short chases
184 cm kama 6 na ushee
Umeona ee
Halafu lingine wanene
Nasubiri swali
Sent using Jamii Forums mobile app
✌✌✌✌Hahahaha, Mie nawapenda wafupi
MTC | 101|![]()
Nipo hapa changamkia fursaMfalme Haroon Rashid alisema yeyote atakaempa talaka mwanamke mfupi amlete kwangu nimuoe
Nikajaribu na mimi wala sijajutia na sasa natafuta mbilikimo kama nikifanikiwa ntakuja kuwajulisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina dada yangu mfupi ana dharau, kebehii, dhihaka... arrgghhhh! Sipati picha angekuwa mke wangu maana ningekuwa namfumua mabao ya uso usiku na mchana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Woooooozaaaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂...!hahaahhaaha jus hahahhahaa just hahahaha...kwamba deaf zao matataUzoefu unaonyesha wanawake wafupi kama 'capacity' yako ni ndogo, unaweza weka mpira kwapani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya nini uvae high heel's mwaya tutatembea hivyohivyo na ufupi wetu kwani tumejiumba wenyewe?Mie najijua mfupi..ila nikikutana na wafupi mm nakuwa tall..bt mm mfupi...!kitu kama 156cm hv
!miaka hii ndo nimejikubali...huko nyuma ilikua mwendo wa heels..sasa hv aku
![]()
Uzito hauzidi 40? Masihara haya .....japo na ufupi wangu na wembamba ila nacheza 55najikubali balaa, urefu wangu 152cm na uzito wangu usiozidi 40kg
basi naonekana kadogo dogo,kumbe mama flani
We kibonge banaUzito hauzidi 40? Masihara haya .....japo na ufupi wangu na wembamba ila nacheza 55
Sent using Jamii Forums mobile app
Size please