Inawezekana viatu ni vichafu na kwenye hiyo.nyumba kuna panya kwa hiyo usiku.panya huvutiwa na hiyo harufu ya uchafu na kutaka kula hiyo kapeti ya viatu vyako. Ni kishauri uzingatie usafi ikiwa ni pamoja na kutokurudia kuvaa soksi zaidi ya mara moja bila kufua, ukinawa miguu hakikisha unafuta maji vzuri na kama miguu yako inatoa jasho.sna tumia powder mara kwa mara.Niposa safarini nchi jirani kibiashara na nimeshukia nyumbani kwa rafiki yangu. Nimepewa chumba changu na ninalala humo peke yangu. Cha kunishangaza kama wiki tatu zilizopita nimeamka asubuhi nikakuta kiatu ninachovaa cha mguu wa kushoto ile carpet ya kukanyagia ndani ya kiatu imegeuzwa ndani nje. Nikajiuliza maswali mengi bila kupata jibu. Mimi ni mkristo nisiyetishika na mauza uza ya kishirikina nilikipiga kiatu damu ya Yesu na kuondoa shaka lolote. Wiki mbili baadae nimekivaa kiatu kile na hapakuwa na dhara lolote. Ninachoshangaa ni kwamba juzi usiku kuamkia jana nimeamka asubuhi na kukuta kiatu kile kile cha mguu wa kushoto carpet lake la ndani limegeuzwa ndani nje. Nimejiuliza maswali mengi na sikupata jibu ila mimi kama mkristo thabiti nimetupilia mbali dhana zote zinazoaminiwa ktk uchawi na uganga. Msingi huu nimeujenga juu ya uthabiti wangu kwamba sikuwahi kumwamini mchawi wala kumpa usikivu wa namna yeyote ile na pia sikuwahi hata kushika wala kuamini katika hirizi ya namna yeyote ile.
Hebu wanye hekima wa Jf tushirikiane katika hili ni nani au nini kinageuza carpet ya kiatu changu usiku? Nia na dhumuni ni nini? Niko fiti mentally na physically na sijaruhusu kwa namna yeyote kujiathiri kisaikolojia.
.Inawezekana viatu ni vichafu na kwenye hiyo.nyumba kuna panya kwa hiyo usiku.panya huvutiwa na hiyo harufu ya uchafu na kutaka kula hiyo kapeti ya viatu vyako. Ni kishauri uzingatie usafi ikiwa ni pamoja na kutokurudia kuvaa soksi zaidi ya mara moja bila kufua, ukinawa miguu hakikisha unafuta maji vzuri na kama miguu yako inatoa jasho.sna tumia powder mara kwa mara.
ondoa.zana za kishirikina ishi kwa imani kwamba Mungu ndio mlinzi wako.
.Kiby Sio uchawi, ila jua katika dunia hatuiishi binadamu peke yetu. Kuna viumbe hatuvioni ila vipo, sasa itakua hiyo ndo michezo yao.
kwetu pemba kuna wakati tukienda pwani unakuta nyavu zimehamishwa, na siku nyingine chombo unaona kabisa kimetumika. Nliwahi kwenda sehemu ugenini, ilikua huko bara nilieka nguo katika mkoba ila siku ya pili nikakuta ziko kitandani wakati chumbani nimelala peke yangu na mlango nimefunga.
Miujiza na maajabu yapo, omba Mungu kabla hujalala wala hutodhurika
Niposa safarini nchi jirani kibiashara na nimeshukia nyumbani kwa rafiki yangu. Nimepewa chumba changu na ninalala humo peke yangu. Cha kunishangaza kama wiki tatu zilizopita nimeamka asubuhi nikakuta kiatu ninachovaa cha mguu wa kushoto ile carpet ya kukanyagia ndani ya kiatu imegeuzwa ndani nje. Nikajiuliza maswali mengi bila kupata jibu. Mimi ni mkristo nisiyetishika na mauza uza ya kishirikina nilikipiga kiatu damu ya Yesu na kuondoa shaka lolote. Wiki mbili baadae nimekivaa kiatu kile na hapakuwa na dhara lolote. Ninachoshangaa ni kwamba juzi usiku kuamkia jana nimeamka asubuhi na kukuta kiatu kile kile cha mguu wa kushoto carpet lake la ndani limegeuzwa ndani nje. Nimejiuliza maswali mengi na sikupata jibu ila mimi kama mkristo thabiti nimetupilia mbali dhana zote zinazoaminiwa ktk uchawi na uganga. Msingi huu nimeujenga juu ya uthabiti wangu kwamba sikuwahi kumwamini mchawi wala kumpa usikivu wa namna yeyote ile na pia sikuwahi hata kushika wala kuamini katika hirizi ya namna yeyote ile.
Hebu wanye hekima wa Jf tushirikiane katika hili ni nani au nini kinageuza carpet ya kiatu changu usiku? Nia na dhumuni ni nini? Niko fiti mentally na physically na sijaruhusu kwa namna yeyote kujiathiri kisaikolojia.
.Umewaza vibaya tu, hakuna watoto hapo? Kwanini akili yako imekutuma kwenye uchawi na Si vinginevyo like labda watoto au hata wengine humo ndani wamefanya kukijaribu kiatu hicho?
If you switch your mind into negatives will end up with negative.
Tembea uone, ukubwa jaa. Maisha yanaendelea.
Inawezekana kuwa hivyo mkuu ila kwangu ni ngumu kumeza maana sikuwahi kuona vya namna hiyo kabla.
.Hemu toa kapeti kabla ya kulala na uiweke sehem nyingine hata kwenye nguo tuone inakuwaje hapo
Ningekua wewe ningekaa macho, lakini kwakua unaweza kusinzia ningetumia simu yangu kurekodi kuanzia muda nitakaolala mpaka nitakapoamka..
Sasa hivi ndo nataka nilale na ndio nimevikagua viatu na kuhakikisha carpet yake ipo sawa japokuwa sio ndio nilivivaa leo wala jana. Nimefunga mlango na nishamshukuru Mungu kwa kunilinda katika siku.
Bila shaka ni Congo DRCNiposa safarini nchi jirani kibiashara na nimeshukia nyumbani kwa rafiki yangu. Nimepewa chumba changu na ninalala humo peke yangu. Cha kunishangaza kama wiki tatu zilizopita nimeamka asubuhi nikakuta kiatu ninachovaa cha mguu wa kushoto ile carpet ya kukanyagia ndani ya kiatu imegeuzwa ndani nje. Nikajiuliza maswali mengi bila kupata jibu. Mimi ni mkristo nisiyetishika na mauza uza ya kishirikina nilikipiga kiatu damu ya Yesu na kuondoa shaka lolote. Wiki mbili baadae nimekivaa kiatu kile na hapakuwa na dhara lolote. Ninachoshangaa ni kwamba juzi usiku kuamkia jana nimeamka asubuhi na kukuta kiatu kile kile cha mguu wa kushoto carpet lake la ndani limegeuzwa ndani nje. Nimejiuliza maswali mengi na sikupata jibu ila mimi kama mkristo thabiti nimetupilia mbali dhana zote zinazoaminiwa ktk uchawi na uganga. Msingi huu nimeujenga juu ya uthabiti wangu kwamba sikuwahi kumwamini mchawi wala kumpa usikivu wa namna yeyote ile na pia sikuwahi hata kushika wala kuamini katika hirizi ya namna yeyote ile.
Hebu wanye hekima wa Jf tushirikiane katika hili ni nani au nini kinageuza carpet ya kiatu changu usiku? Nia na dhumuni ni nini? Niko fiti mentally na physically na sijaruhusu kwa namna yeyote kujiathiri kisaikolojia.