cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,894
- 78,935
Unauliza iweje wakati hutaki ushauri wa kuama?
Kanunue mafuta ya olive oil, salia na kufunika na damu ya Yesu kristo wa Nazareti
then paka popote kidogo kidogo huku unasalia yawe ndio ya kuvunja lolote linalotenda hayo na Mungu ayafumbue. Paka hata kiatu na linalobadilishwa
Weka imani juu haswa pia.
N.b. wanakujaribu ulalamike, upunguze imani wakumalize watakavyo. Ni kama haujui ulipo...nyumba za watu uficha siri nyingi.
Pole endelea kujenga imani, huku ukitafuta kwako. Natumaini unalipa chochote au hata kutoa pesa ya chakula kuchangia.
Kanunue mafuta ya olive oil, salia na kufunika na damu ya Yesu kristo wa Nazareti
then paka popote kidogo kidogo huku unasalia yawe ndio ya kuvunja lolote linalotenda hayo na Mungu ayafumbue. Paka hata kiatu na linalobadilishwa
Weka imani juu haswa pia.
N.b. wanakujaribu ulalamike, upunguze imani wakumalize watakavyo. Ni kama haujui ulipo...nyumba za watu uficha siri nyingi.
Pole endelea kujenga imani, huku ukitafuta kwako. Natumaini unalipa chochote au hata kutoa pesa ya chakula kuchangia.