Mnyabwilo
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 720
- 256
30....
Mwalimu wako wa hesabu alikuwa nani? maana unanichekesha hadi mbavu zinauma
30....
4+2x(8-3)/2-1
MAGAZIJUTO: 4+2 x 5/2-1 = 6x5/2-1 = 30/1 = 30.
Jibu = 30.
Ukimaliza kucheka nijulishe!Mwalimu wako wa hesabu alikuwa nani? maana unanichekesha hadi mbavu zinauma
ayaaaaah, ungekuwa karibu ningekukoa kwenzi kidogo.. umeenda vizuri kabisa lakin ukasahau formula yako..MAGAZIJUTO.Kwa nin umejumlisha 4+2 kabla ya 2x5/2? haya angalia vizuri sasa.....4+2x5/2-1 = 4+5-1 = 9-1 = 8 jawabu na pigia msitari4+2x(8-3)/2-1MAGAZIJUTO: 4+2 x 5/2-1 = 6x5/2-1 = 30/1 = 30.Jibu = 30.
4+2(8-3)/2-1 = 4+2(5)/2-1
Aisee.Hapa unastahili Ban hata ya siku moja kwakweli
4+2x(8-3)/2-1
MAGAZIJUTO: 4+2 x 5/2-1 = 6x5/2-1 = 30/1 = 30.
Jibu = 30.
30....
4+2(8-3)/2-1 = 4+2(5)/2-1
4+2(8-3)/2-1
4+2(5)/1
4+10/1
4+10
=14
Hili ndiyo jibu sahihi, wanaobisha endeleni kubisha.
Umekosa.4+2x(8-3)/2-1
MAGAZIJUTO: 4+2 x 5/2-1 = 6x5/2-1 = 30/1 = 30.
Jibu = 30.
4+2(8-3)/2-1 = 4+2(5)/2-1
Aisee.
kwa hiyo nimekuwa kiazi!
Mkuu katika fomula ya MAGAZIJUTO hutakiwi kuruka stage hata moja hesabu ya kwenye mabano umeifanya vizuri lakini umerukia kuzidisha kabla ya kugawanya afu ndio ufate kuzidisha, kujumlisha na mwisho kutoa ukifanya hivyo lazima utapata jibu 8