NIPENI MAJIBU YA HESABU YANGU HIi

NIPENI MAJIBU YA HESABU YANGU HIi

Kama hamkupata feki shauri yenu, hili swali tulisolve na admin kabla halijawa posted, jibu 14. Kwa mwendo huu, idadi ya Div 5 ,sorry Div 0 or one of the above divisions whichever comes first, zitakuwa nyingi mwaka huu.
 
1462985_10151812952741997_1064562609_n.png
4+2(8-3)/2-1 = 4+2(5)/2-1
 
4+2(8-3)/2-1
4+2(5)/1
4+10/1
4+10
=14
Hili ndiyo jibu sahihi, wanaobisha endeleni kubisha.

Mkuu katika fomula ya MAGAZIJUTO hutakiwi kuruka stage hata moja hesabu ya kwenye mabano umeifanya vizuri lakini umerukia kuzidisha kabla ya kugawanya afu ndio ufate kuzidisha, kujumlisha na mwisho kutoa ukifanya hivyo lazima utapata jibu 8
 
Mungu wangu, hivi kwa mtindo huu kweli bado tunaunda Tume kuchunguza matokeo mabaya kweli? Taifa la Wadanganyika kumbe siku zote litakuwa la vilaza tu hata baada ya miaka 100 ya Uhuru! Dah, huwezi kuamini hesabu ya Darasa la 6 ilivyosumbua karibia 80% ya "Great Thinkers of this poor nation". Anyway, MziziMkavu, ahsante kwa changamoto kaka!
 
Kama hamkupata feki shauri yenu, hili swali tulisolve na admin kabla halijawa posted, jibu 14. Kwa mwendo huu, idadi ya Div 5 ,sorry Div 0 or one of the above divisions whichever comes first, zitakuwa nyingi mwaka huu.

Dah! afadhali sisi tutapata div 5 au 0 za halali, wewe mzee wa kudesa noma! kwa hiyo ulivujisha mtihani?
 
4+2(8-3)/2-1
4+2(5)/1
4+10/1
4+10
=14
Hili ndiyo jibu sahihi, wanaobisha endeleni kubisha.

Mkuu mwalimu wako wa hesabu alikuwa na tabu sana yani kweli siamini kabisa unang'ang'ania 14 ukiwa na confidence kabisa...kazi ipo sijui mdogo akiwa na problem ndogo kama hiyo napata shaka kama unaweza kumsaidia aiseee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom