donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Sijaifatilia hii story ya kupeana mikono, ni nini hasa wakuu?

Ok waligombana ngumi? Ama nirudi YouTube nicheki alivokua anahojiwa naona ni nipe mkono hata istagram sijaelewa 😂Harmonize vs Diamond![]()
Hujaskia interview ya Harmonize airport mkuu alivyotua kutoka states?Sijaifatilia hii story ya kupeana mikono, ni nini hasa wakuu?
Harmonize anadai Diamond Platnumz alimfuata nakumwambia ,"huniwezi kipesa, huniwezi kiserikali, huniwezi kiuchawi. Kama unabisha nipe mkono, nipe mkono tushindane"Ok waligombana ngumi? ama nirudi YouTube nicheki alivokua anahojiwa naona ni nipe mkono hata istagram sijaelewa![]()
Duh wasanii wetu hawa😂 thank you donHarmonize anadai diamond Platnumz alimfuata nakumwambia ,"huniwezi kipesa, huniwezi kiserikali, huniwezi kiuchawi. Kama unabisha nipe mkono, nipe mkono tushindane"
Nilisikiliza kidogo nikaona simuelewi sikuimalizia mkuuHujaskia interview ya harmonize airport mkuu alivyotua kutoka states?
Kwa mujibu wa Harmonize Diamond alimwambia Harmonize hamuwezi kiserikali, kipesa na kiuchawi na kama anabisha ammpe mkono washindane, kwa mujibu wa wataalamu kama angempa mkono ndio ingekuwa mwisho wake wa kusikika kama mwanamuziki 🐒Nilisikiliza kidogo nikaona simuelewi sikuimalizia mkuu
Yaani angemfanyia uchawi?? Kumbe kupeana mikono ni risk sometimes aisee🤔 nimeelewa sasa. Thank youKwa mujibu wa Harmonize Diamond alimwambia Harmonize hamuwezi kiserikali, kipesa na kiuchawi na kama anabisha ammpe mkono washindane, kwa mujibu wa wataalamu kama angempa mkono ndio ingekuwa mwisho wake wa kusikika mwanamuziki 🐒View attachment 2018546
Ndo yenyeweMambo ya kuchukuliana nyote siyo...
Usipende kuwapa mikono watu usiofahamiana nao wakuu, wanachukua nyota yako wanaifichaYaani angemfanyia uchawi?? Kumbe kupeana mikono ni risk sometimes aiseenimeelewa sasa. Thank you
Yeuwii kumbe, kijinini kwetu kusalimiana bila kupeana mikono ni shughuli unaonekana na dhereu sana, ila sasa siku watakuja kuiba nyota kumbe nyota yenyewe ya punda , haina mafanikio watajuta😀Usipende kuwapa mikono watu usiofahamiana nao wakuu, wanachukua nyota yako wanaificha
Hahaha, nyota ya punda inaonekana unabeba sana mizigo. Wengine walikuaga wanatumia kipengele Cha kutakiana amani kanisani kuiba nyota, Bora saivi tuna bow to each otherYeuwii kumbe, kijinini kwetu kusalimiana bila kupeana mikono ni shughuli unaonekana na dhereu sana, ila sasa siku watakuja kuiba nyota kumbe nyota yenyewe ya punda , haina mafanikio watajuta![]()


Hiyo imenikumbusha kule kwetu miaka 80 kulikuwa na mfanyabiashara ya kununua na kuuza ng'ombe alikuwa hatoi mkono wake kwa ajili ya kusalimiana. Ukimpelekea mkono wako yeye hatoi mkono wake.Yaani angemfanyia uchawi?? Kumbe kupeana mikono ni risk sometimes aisee🤔 nimeelewa sasa. Thank you
Watashindwa kwa Jina la Yesu, mimi nawapa tu.Usipende kuwapa mikono watu usiofahamiana nao wakuu, wanachukua nyota yako wanaificha