Nipe mkono...

Nipe mkono...

huniwezi kiserikali (that means anaamini serikali ameiweka mfukoni), huniwezi kipesa (anaamini pesa itafanya chochote), huniwezi kiuchawi (kumbe huwa hawamsingizii kuwa ni mchawi na free mason, nipe mkoni kama huamini.
 
huniwezi kiserikali (that means anaamini serikali ameiweka mfukoni), huniwezi kipesa (anaamini pesa itafanya chochote), huniwezi kiuchawi (kumbe huwa hawamsingizii kuwa ni mchawi na free mason, nipe mkoni kama huamini.
Hahaha, well explained
 
Yeuwii kumbe, kijinini kwetu kusalimiana bila kupeana mikono ni shughuli unaonekana na dhereu sana, ila sasa siku watakuja kuiba nyota kumbe nyota yenyewe ya punda , haina mafanikio watajuta😀
We unasema Nyota ya Punda haina kazi wakati mwenye Nyota hiyo akifungua kampuni ya usafirishaji eidha abiria ama mizigo ndio anafanikiwa zaidi kuliko wengine...

Hakuna Nyota ina kazi ya kudharaulika hata moja.
 
Back
Top Bottom