Unazani ktabu kitakupa mtaji na mbinu za ujasiriamali
Kwa nini ujasiriamali hausomwi kutoka kwenye vitabu? Unasema ujasiriamali mzuri ni ule wa kujifunza kutoka mitaani, kwani hicho kilichoko mtaani hakiwezi kuandikwa kwenye kitabu na mtu akajifunza kwa kusoma kitabu hicho?Mkuu mimi nakupa ushauri kutokana na uzoefu wangu. Ujasiriamali hausomwi kutoka kwenye vitabu. Ndiyo kusoma kunaongeza maarifa lakini kwa hizi nchi zetu za Afrika ujasiriamali mzuri ni ule wa kujifunza kutoka mitaani.
Uko sahihi sanaKwa nini ujasiriamali hausomwi kutoka kwenye vitabu? Unasema ujasiriamali mzuri ni ule wa kujifunza kutoka mitaani, kwani hicho kilichoko mtaani hakiwezi kuandikwa kwenye kitabu na mtu akajifunza kwa kusoma kitabu hicho?
milionea wa kesho, unaweza kutoa mfano wa ulichosoma kwa sijui akina Robert kiyosaki na ulipoenda mtaani kuapply ukakuta mambo ni tofauti kabisa? Kama hautojali kujadili!mkuu achana na vitabu ingia mtaani ujifunze vizuri...mimi toka nipo sekondari nasoma vitabu vya ujasiriamali sijui akina Robert kiyosaki.
majuzi hivi nimeingia mtaani kuapply nilichosoma, .
aisee mambo ni tofauti kabisa
Theory na practicle ni vitu viwili tofauti. Kusoma sikatai kwani hata mimi ni mpenzi wa kusoma sana, ila ''ukisoma'' kwa macho kutoka kwenye kitabu cha ''mitaani'' unapata knowledge nzuri zaidi.Kwa nini ujasiriamali hausomwi kutoka kwenye vitabu? Unasema ujasiriamali mzuri ni ule wa kujifunza kutoka mitaani, kwani hicho kilichoko mtaani hakiwezi kuandikwa kwenye kitabu na mtu akajifunza kwa kusoma kitabu hicho?
Ok, labda unaamaanisha kupractice unachosoma? Kwa sababu, ili upractice(kufanya kwa vitendo) ni lazima uwe na wazo au ufahamu(knowledge), Huu ufahamu unaupataje ili ukautumie huko mitaani, huu ujasiriamali unaosema unaupata mtaani unaupatapataje? (Muda mwingine uwasilishaji ni mgumu, naomba unielewe kwamba sikubishii unachosema, ila nahitaji ufafanuzi zaidi)Theory na practicle ni vitu viwili tofauti. Kusoma sikatai kwani hata mimi ni mpenzi wa kusoma sana, ila ''ukisoma'' kwa macho kutoka kwenye kitabu cha ''mitaani'' unapata knowledge nzuri zaidi.
Unaweza kwenda sido mwanzaNinauliza wakuu,
nisaidie ili nijue sehemu wanakouza vitabu vya ujasiriamali namna ya kufanikiwa. Niko hapa Mwanza na kama unajua bei yake nambie nitashukuru endapo wadau watanisaidia kujua hili jambo.