Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Nimetafakari mambo mawili moja nini kilitokea uchaguzi uliopita na khali ya kisiasa ya sasa namwona Mhe. Tulia Ackson kudondoshwa ubunge na Msomi Boniface Mwabukusu.
Namwona Spika kuendelea kuwa spika hata baada ya kuanguka ubunge wa jimbo la uchaguzi wa Mbeya mjini kwa sababu ya mchango wake wa kupitisha Azimio la bunge la mkataba wa kuuza bandari zetu.
Hahitaji pia kiwa mbunge kuwa spika ingawaje baada ya kuanguka atakuwa kadhoofika kisiasa. Na pia nawaona sisiemu kumfyagilia Msomi Mwabukusu kwa kumfutia leseni yake ya uwakili na kumtajataja kila mahali.
Bila kujijua wanampigia bonge la kampeni ya kuwa mbunge.
Yule mwanamuziki wa kufokafoka najua anakinyemelea kiti lakini wapigakura wanataka damu mpya kwenye siasa za jimbo lao.
Hivyo, Sugu hatakuwa mbunge ataanguka kwenye kura za maoni za CDM labda Tulia afanikiwe kuongeza majimbo basi naye Sugu atapata la kwake.
Ninawakilisha.
Namwona Spika kuendelea kuwa spika hata baada ya kuanguka ubunge wa jimbo la uchaguzi wa Mbeya mjini kwa sababu ya mchango wake wa kupitisha Azimio la bunge la mkataba wa kuuza bandari zetu.
Hahitaji pia kiwa mbunge kuwa spika ingawaje baada ya kuanguka atakuwa kadhoofika kisiasa. Na pia nawaona sisiemu kumfyagilia Msomi Mwabukusu kwa kumfutia leseni yake ya uwakili na kumtajataja kila mahali.
Bila kujijua wanampigia bonge la kampeni ya kuwa mbunge.
Yule mwanamuziki wa kufokafoka najua anakinyemelea kiti lakini wapigakura wanataka damu mpya kwenye siasa za jimbo lao.
Hivyo, Sugu hatakuwa mbunge ataanguka kwenye kura za maoni za CDM labda Tulia afanikiwe kuongeza majimbo basi naye Sugu atapata la kwake.
Ninawakilisha.