Nionavyo mimi juu ya CCM Academia!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Sijambo la kushangaza wala kujiuliza!ila tuendapo kuna kuja ccm academia,Kujivua gamba akutasaidia kuziba ufa uliopo!Sisi wakulima tunajua nyoka akijivua gamba anakuwa mkali zaidi na sumu kali!Nawambia CCM Academy aikwepeki naiko njiani!& Na anayeipalilia kwakuweka mafuta ni hiyu kada mgeni!
 
Wishful thinking! Hivi unadhani ni nani kati ya mafisadi anayeweza kuwa na uthubutu wa kuhama na kuanzisha hiyo Academia yako? Au nyie ndo wale waliopangwa kuleta scare politics ili hatua zisichukuliwe? Mnajidanganya sana na ni vizuri ukawaambia kwamba kiberiti kimejaa ile mbaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom