Niombe busara za CHADEMA zitumike kushughulikia wanaotutafutia njaa kwa wahisani

ego

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,620
1,407
Najaribu kukumbuka tukio la Chadema kuwasimamisha uanachama wabunge wake waliokataa kutii maagizo ya chama ya kutoingia bungeni kutokana na Sakata la COVID 19.

Nakumbuka sakata la Chadema na Dk Slaa baada ya uchaguzi wa 2015.

Kwa mtizamo Chadema ni chama ambacho hakivumilii "ujinga" kwa maana chama kikitoa msimamo wa tunafuata hiki na wewe ukataka kuleta mambo ya demokrasia kuwa ninaweza kutokubaliana na hilo wanakutimua chama na hilo limefanyika kwa wengi.

Tatizo inapokuja kwa nchi, kwa sababu watawala ni wengine na si wao wanaofanya maamuzi basi wanataka demokrasia ya kila mtu afuate fikra zake.

Yaani mtu anaweza kupita huko kwa wafadhili na kusema nchi yangu wainyime misaada, mikopo, iwekewe vikwazo vya kiuchumi na akarudi nchini na kaendelea kuwa Mtanzania lakini akifanya hivyo kwenye chama chao wanafukuza.

Mimi nashauri kama nchi tufuate sera za Chadema.
 
Chadema ni chama cha kilaghai. Usitegemee lolote la maana toka kwao. Fanya kazi kwa bidii, ndio njia pekee ya mafanikio. Kila mmoja wetu akifanya kazi kwa bidii hakuna cha kutuzuia kuendelea.
 
Chadema ni chama cha kilaghai. Usitegemee lolote la maana toka kwao. Fanya kazi kwa bidii, ndio njia pekee ya mafanikio. Kila mmoja wetu akifanya kazi kwa bidii hakuna cha kutuzuia kuendelea.
Unajisikiaje unapofanya kazi iwe ofisini au za mikono alafu ule mda unahitaji mshahara au kuuza hata mazao yako unakuta soko halipo au hela unaambiwa hakuna.
 
Chadema imekufa.

Magufuli alisema mala tatu kuwa uchaguzi umekwisha uchaguzi umekwisha.

Wapinzani wamechelewesha maendeleo kwa miaka 60. nchi ni ya kijani sasa.

#Watanzania wanataka maendeleo kutoka CCM.
 
Bila shaka utakuwa miongoni mwa wale walioshangilia ushindi batili wa CCM, hii propaganda ya kujenga nchi wakati nyie mnabomoa umoja wa nchi hiyo hiyo ni ujinga, muiache, hamuwezi kujenga bila kuunganisha pamoja kwanza.
 
Kwanini tusianze na yule anayesababisha hao watu kupita huko na kushawishi nchi wahisani kutunyima misaada?
 
Chadema imekufa.

Magufuli alisema mala tatu kuwa uchaguzi umekwisha uchaguzi umekwisha

Wapinzani wamechelewesha maendeleo kwa miaka 60. nchi ni ya kijani sasa.

#Watanzania wanataka maendeleo kutoka CCM.
We jamaa muongo sana wapinzani wamechelewesha maendeleo miaka 60? Ujue nyie ndiyo mliotufikisha hapa kwani upinzani umewahi kutawala ehee?
 
Najaribu kukumbuka tukio la Chadema kuwasimamisha uanachama wabunge wake waliokataa kutii maagizo ya chama ya kutoingia bungeni kutokana na Sakata la COVID 19.

Nakumbuka sakata la Chadema na Dk Slaa baada ya uchaguzi wa 2015.

Kwa mtizamo Chadema ni chama ambacho hakivumilii "ujinga" kwa maana chama kikitoa msimamo wa tunafuata hiki na wewe ukataka kuleta mambo ya demokrasia kuwa ninaweza kutokubaliana na hilo wanakutimua chama na hilo limefanyika kwa wengi.

Tatizo inapokuja kwa nchi, kwa sababu watawala ni wengine na si wao wanaofanya maamuzi basi wanataka demokrasia ya kila mtu afuate fikra zake.

Yaani mtu anaweza kupita huko kwa wafadhili na kusema nchi yangu wainyime misaada, mikopo, iwekewe vikwazo vya kiuchumi na akarudi nchini na kaendelea kuwa Mtanzania lakini akifanya hivyo kwenye chama chao wanafukuza.

Mimi nashauri kama nchi tufuate sera za Chadema.

Hata hao waliofukuzwa cdm tumeona wakitumika kuchafua haiba ya cdm na kuichongea. Tumeona Godwin Mollel alichokuwa anaongea kuhusu cdm, tumeona Mwita Waitara alivyokuwa anaongea siasa chafu dhidi ya cdm tena ndani ya bunge. Lijualikali aliongea mambo mengi sana mpaka akataka cdm ichinguzwe kuhusu 8b, na takukuru wakaagizwa kufanya uchunguzi wa hizo hela. Tulisikia vizuri sana alichoongea Sumaye kuhusu cdm, na kutaka isipewe nchi maana haifai. Inaonekana umezivaa propaganda kichwa kichwa lakini una uwezo na una kumbukumbu ndogo sana ya uchafu wote cdm wanaofanyiwa.
 
Najaribu kukumbuka tukio la Chadema kuwasimamisha uanachama wabunge wake waliokataa kutii maagizo ya chama ya kutoingia bungeni kutokana na Sakata la COVID 19.

Nakumbuka sakata la Chadema na Dk Slaa baada ya uchaguzi wa 2015.

Kwa mtizamo Chadema ni chama ambacho hakivumilii "ujinga" kwa maana chama kikitoa msimamo wa tunafuata hiki na wewe ukataka kuleta mambo ya demokrasia kuwa ninaweza kutokubaliana na hilo wanakutimua chama na hilo limefanyika kwa wengi.

Tatizo inapokuja kwa nchi, kwa sababu watawala ni wengine na si wao wanaofanya maamuzi basi wanataka demokrasia ya kila mtu afuate fikra zake.

Yaani mtu anaweza kupita huko kwa wafadhili na kusema nchi yangu wainyime misaada, mikopo, iwekewe vikwazo vya kiuchumi na akarudi nchini na kaendelea kuwa Mtanzania lakini akifanya hivyo kwenye chama chao wanafukuza.

Mimi nashauri kama nchi tufuate sera za Chadema.
Tuliwatuma sisi muibe kura , muue , mvuruge uchaguzi , mkodi mahutu toka Burundi kuyaleta Zanzibar na kuyavalisha nguo z's naniliu, mle hela za covid19 , wakati mliimaliza na maombi uchwara .
 
Najaribu kukumbuka tukio la Chadema kuwasimamisha uanachama wabunge wake waliokataa kutii maagizo ya chama ya kutoingia bungeni kutokana na Sakata la COVID 19.

Nakumbuka sakata la Chadema na Dk Slaa baada ya uchaguzi wa 2015.

Kwa mtizamo Chadema ni chama ambacho hakivumilii "ujinga" kwa maana chama kikitoa msimamo wa tunafuata hiki na wewe ukataka kuleta mambo ya demokrasia kuwa ninaweza kutokubaliana na hilo wanakutimua chama na hilo limefanyika kwa wengi.

Tatizo inapokuja kwa nchi, kwa sababu watawala ni wengine na si wao wanaofanya maamuzi basi wanataka demokrasia ya kila mtu afuate fikra zake.

Yaani mtu anaweza kupita huko kwa wafadhili na kusema nchi yangu wainyime misaada, mikopo, iwekewe vikwazo vya kiuchumi na akarudi nchini na kaendelea kuwa Mtanzania lakini akifanya hivyo kwenye chama chao wanafukuza.

Mimi nashauri kama nchi tufuate sera za Chadema.
Kama taifa tumeamua kuondokana na neno wahisani, tunataka tusimame wenyewe tumechoka kunyanyaswa hiyo euro 27 tunaweza kuipata kwenye sanaa tu.Tunajiandaa kurudisha tutatafuta zetu.Ujinga mtupu unapewa pesa halafu unatishiwa kunyang'anywa eti kwa sababu umepinga ushoga.
 
Tuliwatuma sisi muibe kura , muue , mvuruge uchaguzi , mkodi mahutu toka Burundi kuyaleta Zanzibar na kuyavalisha nguo z's naniliu, mle hela za covid19 , wakati mliimaliza na maombi uchwara .
Tuonyeshe makaburi walikozikwa.Hata Corona mlisema hivyo badala ya kuonyesha makaburi mkajificha, kenge nyie
 
Bila shaka utakuwa miongoni mwa wale walioshangilia ushindi batili wa CCM, hii propaganda ya kujenga nchi wakati nyie mnabomoa umoja wa nchi hiyo hiyo ni ujinga, muiache, hamuwezi kujenga bila kuunganisha pamoja kwanza.

Kwani Chadema ndio Tanzania? Ni chama kipo leo na kesho kinaweza kufa tukutafuta chama kingine na kinaendeleza matakwa yetu ya kisiasa.

Hakuna umaalumu wa Chadema, ni kama chama kingine chochote lakini Tanzania itabaki.

Kipigo cha mwaka huu mbona kina fanya tuweweseke ?.
 
Kama taifa tumeamua kuondokana na neno wahisani, tunataka tusimame wenyewe tumechoka kunyanyaswa hiyo euro 27 tunaweza kuipata kwenye sanaa tu.Tunajiandaa kurudisha tutatafuta zetu.Ujinga mtupu unapewa pesa halafu unatishiwa kunyang'anywa eti kwa sababu umepinga ushoga.

Unadhani ukisema unapinga ushoga ndiyo utatupoteza maboya kwanini wazungu wamehoji mambo haya? Tuna uelewa wa kutosha, na tuko na wazungu kwenye huu wizi wa kimachomacho.
 
Tuonyeshe makaburi walikozikwa.Hata Corona mlisema hivyo badala ya kuonyesha makaburi mkajificha, kenge nyie

Uonyeswe ww kama nani, unaonyeshwa kama una credibility, sio uwaonyeshe polisi ambao walikuwa sehemu ya hao wauaji
 
Kwani Chadema ndio Tanzania? Ni chama kipo leo na kesho kinaweza kufa tukutafuta chama kingine na kinaendeleza matakwa yetu ya kisiasa.

Hakuna umaalumu wa Chadema, ni kama chama kingine chochote lakini Tanzania itabaki.

Kipigo cha mwaka huu mbona kina fanya tuweweseke ?.

Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura fullstop.
 
Back
Top Bottom