Kama wakuu walivyosema, mwezi mmoja ni mapema kufanya maamuzi hayo.Huenda upweke ulioupata ghafla ndio umekufanya kuwaza hivyo licha ya kuwa ni mapema mno.
Tafuta ndugu wa kike(au mfanyakazi wa ndani) unayemwamini na anayeweza kukusaidia kuwaangalia watoo ukae angalau mwaka mmoja ndipo uanze kuwaza kama kuna ulazima wa kuoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.