Tafuta house girl akulelee watoto kwnza,,then tulia kwnz ukifika 46 years ,,tafuta mke oa,,,na hakikisha usioe SINGLE MOTHER,,atakuja kuvuruga MFUMO mzima wa MAPENZI yako na watoto wakoNaomba msaada wanajamvi na wazoefu. Ni mwezi sasa tangu nimpoteze mke wangu kwa shida ya uzazi. Ameniachia watoto 3 miaka 14 , 9 na 3. Mimi nina 44. Napima changamoto za kuoa tena au kubaki bila kuoa. Naomba pia mawazo yenu. Aksanteni.
Wewe si single mother mfariji jamaa basi.Kati ya hao watoto kuna wakike?
Ushauri tafute msichana wa kazi akiwa mmama itapendeza zaidi mlipe kwa ajili ya kuwalea hao.
Kuoa ndiyo inategemea utampata mwanamke wa namna gani , je atawapenda watoto? Je hatokuwa kimaslah kwako? Ili kugundua hilo inahitaji kuwa naye kwenye mahusiano muda mrefu kabla haujachukua maamuzi ya kuoa.
Pole sana Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Single mother? Unanijua?
U gonna be one day. Save the date.Single mother? Unanijua?
Tuheshimiane tusitabiriane upuuzi.
Shwainn
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahSingle mother? Unanijua?
Tuheshimiane tusitabiriane upuuzi.
Shwainn
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa niaba ya watoto hasa huyo wa miaka mitatu (3)Ameniachia watoto 3 miaka 14 , 9 na 3. Mimi nina 44.
Daa..pole sana broo pumzika kidogo ni mapema mno japo inauma sana.Naomba msaada wanajamvi na wazoefu. Ni mwezi sasa tangu nimpoteze mke wangu kwa shida ya uzazi. Ameniachia watoto 3 miaka 14 , 9 na 3. Mimi nina 44. Napima changamoto za kuoa tena au kubaki bila kuoa. Naomba pia mawazo yenu. Aksanteni.
Mwambie asikuzushie.Single mother? Unanijua?
Tuheshimiane tusitabiriane upuuzi.
Shwainn
Sent using Jamii Forums mobile app