Ninyi viongozi wa umma mnaochapa watu viboko mnawachapa kwa mamlaka gani?

Shujaa mwakilishi wa wanyonge. Mpinga uonevu wa viongozi wenye majigambo na tabia ya kudhalilisha watu. Huyu alimtandika risasi na kumuua Dr Kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa miaka hiyo ya 1970s baada ya kudhalilishwa na RC huyo mbele ya wake zake tena siku ya sikukuu ya Krismasi.
baada ya kuua akapakia maiti kwenye gari na kwenda mwenyewe kituo cha polisi! R.I.P Mwavindi! Viongozi wanatuona Watz mazuzu......
 
baada ya kuua akapakia maiti kwenye gari na kwenda mwenyewe kituo cha polisi! R.I.P Mwavindi! Viongozi wanatuona Watz mazuzu......
Tena alipakia "mzoga" wa RC huyo kwenye gari ya serikali na kuiendesha mwenyewe hadi kituo cha polisi. Hiyo gari ndiyo hiyo hiyo iliyokuwa imetumiwa na RC huyo kwenda shambani na nyumbani kwa Mwamwindi na kumdhalilisha mbele ya familia yake. Kufika polisi akawaambia "nimewaletea huo mzoga wenu".
 
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?

Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?

Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.

Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?

Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?

Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Na wanaochapwa nao ni umbwa kama umbwa zingine! Unaruhusuje ujinga kama huo?
 
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?

Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?

Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.

Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?

Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?

Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Utawala wa mkono wa chuma ndiyo ulivyo, uongozi wa wananchi haufanyi hivyo kwani uko pamoja nao.
 
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?

Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?

Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.

Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?

Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?

Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Nimekaa sit ya mbele ili nimuone mmiliki wa kile kitega uchumi anachapwa mijeredi, sijaona: hii ni adhabu ya bidagaa
 
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?

Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?

Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.

Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?

Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?

Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Tuseme ukweli ndugu yangu,hivi kupigwa viboko kumi hadharani na kuingizwa mahabusu ukaozee huko miezi mitano hadi sita huku DPP na hakimu wakikupiga danadana (DPP-Nategemea kubadilisha mashtaka,Hakimu-Leo hayupo anaudhuru) ni kipi bora?
Kuna watu wangeweza kumnasa makofi huyo waziri lakini busara inatawala wanaona ngoja waumie kidogo kwa muda mfupi kuliko ukaozeee rumande
 
Serikali Ninayoiongoza Mimi Halitakuwa Na Michakato, Hata Kama Ni Samaki Unachakata Itaozea Mkononi
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Hiyo sio busara,kumnyamazia mtu anayekuonea na kushindwa kumchukulia hatua kunatokana na uwoga na unyonge tu si busara
Unajua neno "hali halisi?"
Kwenye kipindi cha kampeni nilikutana na kijana mmoja alipita bila kupigwa kwenye udiwani kupitia CCM.Nilimuuliza "unajisikiaje kupita bila kupingwa wakati wagombea wenzio wameenguliwa kwa mambo madogo madogo,huoni kama kuna watu wamenyimwa haki"?".Majbu ya kijana yule (Mhitimu wa UDSM) yalinistua lakini yamekuwa yakinijia mara kwa mara na yamenifumbua macho.Alisema "Mzee ukiwa unaitafuta haki utakongoloka mpaka unaingia kaburini,hakuna haki katika siasa".
HITIMISHO-Hivi kweli unaweza ukajibishana na askari ambaye kwa kumuangalia usoni tu anaweza kuachia risasi?
 
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?

Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?

Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.

Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?

Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?

Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Ungekuwa wewe uulizwe kuchapwa viboko na kwenda jela unachagua nini? Ungesemaje,huoni kwamba kuchapwa viboko wamesaidiwa? Kwanini ukaanze kusumbua polisi na mahakama wakati unaweza ukawapa adhabu hapo hapo.
 
Halafu jiulize kwanini kipindi hiki cha jiwe ndio sana? Kuficha maana yake watu wasijue na kama hawajui maana yake hawezi toa msaada wowote ule,

Nazani wanaogopa wananchi wakitoa msaada wa maombi utaharibu mipango yao, Nazani mnakumbuka yale maombi ya Lisu, maana ndio yaliyomponya, sasa hawataki kurudia kosa, ndio maana mambo yanaenda kimya kimya, nyie mnapewa taarifa ya kifo tu.
 
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?

Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?

Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.

Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?

Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?

Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Tunazo mahakama za gachacha, wanao fanya uharifu kama ulio usemana mwingine mwingi unao fanya na polisi, jet nk, wanajua kuwa wanavunja sheria, lakini wanajua mahakamani hawatafikishwa, na wakifikishwa hawatafanywa lolote.
 
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?

Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?

Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.

Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?

Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?

Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Mimi siku aje Boss wangu anichape viboko! Sitakubali zitapigwa mpaka tugawane nyumba za Serikali kama sio mimi basi yeye ataenda Polisi kuchukua PF3 akatibiwe Hospital na mwingine atalala mahabusu.
 
Back
Top Bottom