Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
baada ya kuua akapakia maiti kwenye gari na kwenda mwenyewe kituo cha polisi! R.I.P Mwavindi! Viongozi wanatuona Watz mazuzu......Shujaa mwakilishi wa wanyonge. Mpinga uonevu wa viongozi wenye majigambo na tabia ya kudhalilisha watu. Huyu alimtandika risasi na kumuua Dr Kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa miaka hiyo ya 1970s baada ya kudhalilishwa na RC huyo mbele ya wake zake tena siku ya sikukuu ya Krismasi.