Ninunue simu ipi

Ninunue simu ipi

am a girl

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2016
Posts
748
Reaction score
506
Nahitaji simu yenye kuanzia 16 gb na yenye camera nzuri yani high quality ya ukweli. Iwe laini mbili lakini sio tecno.

Naombeni mnishauri aina gani ndo itanifaa kutokana na specs zangu hapo. Pia budget yangu iko kawaida(i cant afford iphone wala samsung s5 kuendelea)

Nilitaka kuchukua huaweii y6 pro ila kuna mtu akanambia eti 16gb unaeza ona ni nyingi lakini kati ya hizo either 4gb au 8gb inakua occupied na system ya simu halafu wanakuachia hizo gb chache zilizobaki for your own use.

Samsung nao naona kila wakitoa simu mpya basi camera ya simu za nyuma inapoteza ubora.
 
300K unapata second hand s5,

kuhusu storage simu zote za 16gb free space inarange 8gb hadi 12gb

kuhusu camera si kweli kwamba zinapoteza quality unatakiwa uangalie na series ya hio simu. mfano j series ya 2016 camera yake haiwezi shinda Note au S series ya 2014 japo ni ya 2016
 
300K unapata second hand s5,

kuhusu storage simu zote za 16gb free space inarange 8gb hadi 12gb

kuhusu camera si kweli kwamba zinapoteza quality unatakiwa uangalie na series ya hio simu. mfano j series ya 2016 camera yake haiwezi shinda Note au S series ya 2014 japo ni ya 2016
Asante sana chief. Je simu za 8gb inakuaje inapungua hadi 4gb au
 
Chief am sorry nakuuliza tena,kwa hiyo budget yangu ni samsung series ipi ambayo itanifaa kwa camera ikiwa mpya.

I mean kati ya j series,note series,s series etc ni series ipi ambayo camera ni best.
 
Chief am sorry nakuuliza tena,kwa hiyo budget yangu ni samsung series ipi ambayo itanifaa kwa camera ikiwa mpya.

I mean kati ya j series,note series,s series etc ni series ipi ambayo camera ni best.

S na Note zikiwa mpya(za mwaka huu) bei zake huzidi milioni 1,

J series ndio unapata kwa bei hio na budget yako ni vyema ukomae upate J5 kama alivyosema mdau hapo juu. na bei elekezi ni hio 350,000

nenda maeneo ya aggrey zipo nyingi sana, na hakikisha ukitaka kununua unatuma imei yake kwenda 15685 ili kuhakiki kama ina warranty ya Tanzania

ila j5 ina 8gb tu
 
Aisee we nenda kanunue Tecno
Coz carcare zao zinapatakina kwa wingi
Mi sina hofu na simu yangu coz ikitokea Emergency labda ikapasuka kioo
Basi naenda kwao wanaweka kioo kipya bureeeee kabisa
Lakini under dat condition isiwe imefungulia na mafundi wengine
 
Nahitaji simu yenye kuanzia 16 gb na yenye camera nzuri yani high quality ya ukweli. Iwe laini mbili lakini sio tecno.

Naombeni mnishauri aina gani ndo itanifaa kutokana na specs zangu hapo. Pia budget yangu iko kawaida(i cant afford iphone wala samsung s5 kuendelea)

Nilitaka kuchukua huaweii y6 pro ila kuna mtu akanambia eti 16gb unaeza ona ni nyingi lakini kati ya hizo either 4gb au 8gb inakua occupied na system ya simu halafu wanakuachia hizo gb chache zilizobaki for your own use.

Samsung nao naona kila wakitoa simu mpya basi camera ya simu za nyuma inapoteza ubora.
Lete 350k nkupe note 3 black GB 30
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom