Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,720
Aisee!!! Kumbe ni hayo! Binadamu anamkosoa Mungu!!
Maadili unayajua ?Wazungu ndo chanzo Cha uharibifu wa maadili
Ni kweli kabisa. Unfortunately asili tumeshaiacha mbali.Na mimi huwa nawaambi watu ya kuwa hakuna jambo rahisi kama kurudi kwenye ASILI,lakini wao wanajitoa ufahamu na kujitia wajuaji.
Ha ha ha!.Aisee kwa hiyo wanyama wanatuzidi.Mikuyati ya wanyama
Its Bazazi again...!!! Mzee wa vina [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]@Mshana Jr
Dunia Uwanja wa Fujo
Dunia Tambara Bovu
Yanini kujitaabisha!?
Watu walianza Afrika
Wasambaa Duniani
Rangizo zawa "pale"
Wakaamua ushenzi
Wamshinda Ibilisi
Wajipongea bado
Lakini Moto ni Moto
Asili yake ni Asili
Kama Karma tu
Lazima irejee tu
Ngamani kwetu
Kama maharage
Yaruka na kuruka
Chunguni yarejea
Usiwe na hofu
Asili itashinda
Bazazi
Asalala!!Siku hizi wanashindana makeups View attachment 1148532View attachment 1148533
Kikubwa ni elimu ya kujitambua kuwa na uwezo wa kukataa huu ujinga.Pale tulipokubali tamaduni za kimagharibi, kuanzia style ya maisha, imani za kidini nk ndipo tulipoharibu.
Sasa hivi mwanaume kabisa anashikishwa ukuta na anatoa miguno, ooh gosh!