Ninini hiki kinatokea duniani?

Ninini hiki kinatokea duniani?

Status
Not open for further replies.
Pale tulipokubali tamaduni za kimagharibi, kuanzia style ya maisha, imani za kidini nk ndipo tulipoharibu.

Sasa hivi mwanaume kabisa anashikishwa ukuta na anatoa miguno, ooh gosh!
 
Nilitazama film moja ya Comedy inaitwa Jackass kwa kweli wazungu wanaupenda sana ushoga, Mungu atusaidie huku Africa ambapo hali bado haijachanganya
 
Naona hii wiki umejikita zaidi kwenye masuala ya kijamii has a suala la mahusiano na ndoa....
Yeah tulianza wiki na mambo ya dent, sijui CryptoTab, cryptocurency, brave nk
 
Pale tulipokubali tamaduni za kimagharibi, kuanzia style ya maisha, imani za kidini nk ndipo tulipoharibu.

Sasa hivi mwanaume kabisa anashikishwa ukuta na anatoa miguno, ooh gosh!
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji848][emoji2]
 
Nadhani haya yote yanasambazwa sana na yanapigwa msasa na mataifa makubwa makubwa haswa ya magharibi kama USA ambako ndipo kumeshamiri upumabavu huu.

Sasa nataka kusema nini hapa!? Kwa mawazo yangu; miaka ya hivi karibuni tangu ushindani wa kiteknolojia ulipoanza ndipo vitendo hivi vinazidi kunawiri zaidi. Mimi sidhani kama yametokea tu haya mambo from no where. Ninasikia kuna hawa viumbe ALIENS wanaoishi nje ya sayari yetu ama ulimwengu tunapoishi wamekamatwa kadhaa huko nchi za magharibi na wamekuwa wanawasaidia sana hasa katika ugunduzi mpya wa kiteknolojia katika nyanja mbalimbali na hata kivita.

Hizi ni sheria na makubaliano waliojiwekea kati yao ili waendelee kuwapa hawa wamarekani teknolojia hizo mpya ambazo hatuzifahamu bado ila katika sayari zao zinatumiaka sana na niwazoefu.

Watu kubadilishwa kuwa magay na malesbians usishangae miaka ijayo uzao wa binadamu ukapungua kutokana na haya mambo ikawa ni njia rahisi kwa hawa ALIENS kuvamia dunia kuwa makazi yao mapya na tukashindwa kuwazuia kwa sababu ni muda sasa wameanza kujiandalia nafasi nzuri za teknolojia zao hapa duniani na sijui kama tunaweza kuzitumia kwa ufanisi mkubwa sana kuliko wao.
 
Mwaka 2001 niliwahi kununua vcd ya wanyama na binadamu... Nilichokiona kilinitisha mno ni vcd by then ziikuwa mbili kila moja ina masaa 9
Moja ilikuwa ni mashoga tupu na wanyama kama Mbwa, punda, dubu na sokwe na nyingine ilikuwa ya wanawake tupu na wanyama hao hao
Imagine CD za masaa 18 na walikuwa ni wanaume kwa wanawake wa mataifa mbalimbali... Sijui ilichukua muda gani kutengenezwa na washiriki walilipwa kiasi gani.. Kuna baadhi ya wafrika ulikuwa unaona kabisa wanazidiwa lakini wanavumilia...
Leo hii ni fasheni
Wanazidiwa nini?
 
hakika haya mambo wengi sana tumefumbwa macho na kuaminishwa visivyo sahihi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom