Nini unajivunia siku ya leo?

Ila enzo usijitoe ufahamu! Ungekua na hela tusingekesha kipindi kile kama wehu kusubiri vocha za bure.

Mods walitukosea kufuta ule uzi, nilikua nina uhakika wa bundle, zikimwagwa nazoa hadi za 20kπŸ˜‚
Nakumbuka ulipataga vocha za elfu 20 ephen akee πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜€
 
Nilizipata kwa siku 1 halafu, vocha nilizozoa hata 70k zinafika
Matajiri wa jf wangeendelea kumwaga ningefungua biashara ya kurusha vocha
Wacha wewe πŸ˜‚ 😁 πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ ndio maana Kila siku huwa namuombea kwa mwenyezi mungu tajiri Bantu Lady Aishi maisha marefu sana yule siku ile nilipata vocha za elfu 35 walahi 😎
 
Unagawa kijambio kwa macheni 😹😹
Kuna sponsor kapatikana ila sio yeye anataka umuhudumie mbwa wake usiku mzima. Unafanya shingapi kitumbo mbwata??
Lamomy unatukana sana, usitukane bana
 
Hongera sana, umepiga hatua kubwa sana.

Wanawake wengine wajifunze kwako sio wasingizie eti unene ndo urembo.
 
Usku wa kuamkia leo nimekandwa haswaa Binti wa zamani halafu nimea apply ile mbinu acha niutake mwenyewe saa 9 usiku tulikuwa live mpaka azana!

πŸ‘‹bye🀣
Nimefurahije 😍 mwanamke kuiomba inahamasisha πŸ˜‰ kwahiyo hapo mwepesiiiiiii mwenyewe πŸ˜‚

Bye, enjoy πŸ˜…
 
Hongera sana, umepiga hatua kubwa sana.

Wanawake wengine wajifunze kwako sio wasingizie eti unene ndo urembo.
Asante sana , ushauri wako wa February niliuchukua nikatafuta nutritionist, nikajifunza kuhusu the science behind weight loss, tukatengeneza meal plans na imenisaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…