Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Ndugu wanajamii.
Nimekuwa nikiangalia hii picha ya mkuu wa wilaya Igunga kwa makini. Katika kuangalia zaidi nikaona kuna kibao hapo mbele ya meza aliyopo, katika hicho kibao inaonekana ni jina lake lakini maandishi yameelekezwa kwake. Sasa nimeshindwa kutambua umuhimu wa hicho kibao. Huenda huyu mama huwa anasahau jina lake mara nyingi awapo ofisini. Inawezekana alijisahau kujijua yeye ni nani ndipo akaenda kuvunja sheria za uchaguzi huku akiwa mkuu wa wilaya.
Angalia picha mwenyewe.
Nimekuwa nikiangalia hii picha ya mkuu wa wilaya Igunga kwa makini. Katika kuangalia zaidi nikaona kuna kibao hapo mbele ya meza aliyopo, katika hicho kibao inaonekana ni jina lake lakini maandishi yameelekezwa kwake. Sasa nimeshindwa kutambua umuhimu wa hicho kibao. Huenda huyu mama huwa anasahau jina lake mara nyingi awapo ofisini. Inawezekana alijisahau kujijua yeye ni nani ndipo akaenda kuvunja sheria za uchaguzi huku akiwa mkuu wa wilaya.
Angalia picha mwenyewe.