kwani we kwako imekuaje? mbna weng wameenda kusoma ordinary diplomas za courses tofauti,mkuu hyo haifai?Kidato cha sita na hichi ndicho kinani discourage sana kusoma tena
ndo nasema kam hukwenda au haukuapply huko wew umejipangeje au unafikir nin kifanyike mkuu?So wote tuliyoenda
duh sikujua kam iko ivo,kumbe...pole ase.jaribu kufatilia kwa ukaribu ama namna nyingne ya kufanya kam matkeo yako yako vzur...mana mi nina kak angu yupo anasom hyo ordinary diploma pale NIT.Walivyo rhusu ordinary dplm kwa ss tulio anza walituruhus ku transfer bt bado atujapata chanzi wametuacha
Afu kumbuka waliifuta ivo
tafuta kazi mambo ya elimu mwachie ndalichakoKm kwa sasa dvtion three wa kidato cha sita ana tupiwa certificate na wa o-level wenye dvtion 3 pia kisa kutofikisha GPA 4 na wanatoa chance ya diploma sec bt chache sana kulingana na wadau je nini maana ya kufika kidato cha sita?
pambana mkuu,usikate tamaa.Ndo ivo ase