kwa kifupi tu. Ukisikia Rpg, rocket launcher,missile tofaut kuu ya hivo vitu niNaomba kujilishwa tofauti kati ya Rocket Propelled Granade (RPG) na Anti-tank Missile katika uwanja wa vita.
Kwa maana katika mwonekano wake ni kama vinnafanana na vinaweza kufanya kazi sawa.
Pia tofauti kati ya mizinga na kombora/missile.
Nashkuru kwa maelezo yako mkuu nimeelewa .....missiles ni advanced RPGkwa kifupi tu. Ukisikia Rpg, rocket launcher,missile tofaut kuu ya hivo vitu ni
Range,masafa. Nguvu, moto unaweza kuwa generated ikipiga target, Control ya Uelekeo wa mapigo nk.
Nikisema control ya huelekeo wa mapigo namaamisha kuwa unaweza ku direct missile yako kwa kutumia controlling system, uka feed coordinates zako mchongo unaifata target kwa masafa makubwa. lakini Ukija ktk technology ya RPG, ambapo ile grenade haina system hiii,kama ilivyo risasi ktk Smg, G3,Sar,P90, etc. Yenyewe baruti ikichochewa tu, inalipuka na kurusha bomu lako ktk Uelekeo unao lenga, So ni za masafa mafupi.
Wewe dogo nimekustikia,wewe ni pot tata muraaaa,napenda sana story za hizi mtabiri kweli.Umeeleza sahihikwa kifupi tu. Ukisikia Rpg, rocket launcher,missile tofaut kuu ya hivo vitu ni
Range,masafa. Nguvu, moto unaweza kuwa generated ikipiga target, Control ya Uelekeo wa mapigo nk.
Nikisema control ya huelekeo wa mapigo namaamisha kuwa unaweza ku direct missile yako kwa kutumia controlling system, uka feed coordinates zako mchongo unaifata target kwa masafa makubwa. lakini Ukija ktk technology ya RPG, ambapo ile grenade haina system hiii,kama ilivyo risasi ktk Smg, G3,Sar,P90, etc. Yenyewe baruti ikichochewa tu, inalipuka na kurusha bomu lako ktk Uelekeo unao lenga, So ni za masafa mafupi.
Muulize Mabeyo!Naomba kujilishwa tofauti kati ya Rocket Propelled Granade (RPG) na Anti-tank Missile katika uwanja wa vita.
Kwa maana katika mwonekano wake ni kama vinnafanana na vinaweza kufanya kazi sawa.
Pia tofauti kati ya mizinga na kombora/missile.
Kwa kuongezea, anti-tank missiles zinatumika kushambulia heavily armoured military vehicles. Kuna baadhi ya vehicles mfano APC, huwezi kuidestroy kirahisi na RPG, lazima utumie anti-tank missiles kama vile ALBM, ICBM, AAM etc.kwa kifupi tu. Ukisikia Rpg, rocket launcher,missile tofaut kuu ya hivo vitu ni
Range,masafa. Nguvu, moto unaweza kuwa generated ikipiga target, Control ya Uelekeo wa mapigo nk.
Nikisema control ya huelekeo wa mapigo namaamisha kuwa unaweza ku direct missile yako kwa kutumia controlling system, uka feed coordinates zako mchongo unaifata target kwa masafa makubwa. lakini Ukija ktk technology ya RPG, ambapo ile grenade haina system hiii,kama ilivyo risasi ktk Smg, G3,Sar,P90, etc. Yenyewe baruti ikichochewa tu, inalipuka na kurusha bomu lako ktk Uelekeo unao lenga, So ni za masafa mafupi.
Jina linajielezea mbonaNaomba kujilishwa tofauti kati ya Rocket Propelled Granade (RPG) na Anti-tank Missile katika uwanja wa vita.
Kwa maana katika mwonekano wake ni kama vinnafanana na vinaweza kufanya kazi sawa.
Pia tofauti kati ya mizinga na kombora/missile.
Ngoja tuwaulize Warusi na Wayukreni watakuwa na Majibu ya Kutosha kwani kwa sasa Wao ndiyo wanazitumia Kunakotukuka hizi Silaha zako tajwa hapa.Naomba kujilishwa tofauti kati ya Rocket Propelled Granade (RPG) na Anti-tank Missile katika uwanja wa vita.
Kwa maana katika mwonekano wake ni kama vinnafanana na vinaweza kufanya kazi sawa.
Pia tofauti kati ya mizinga na kombora/missile.
Shabiki maandazi wa kivita, anataka kutia chawa madani.Sio swali langu la msingi mkuu
Kaomba kupiga nazo picha hata kubeba hawezi
Mkuu yaani utumie hizi zaga kuharibu APC?ALBM, ICBM,
Matumizi mabaya ya Nguvu, Ni kama utumia Rocket launcher, Au RPG kumuua mtu mmoja.Mkuu yaani utumie hizi zaga kuharibu APC?
Kuwa serious kidogo basi, unazijua hizo zaga lakini
Hasa mtu humjui, Unaanza kumuita dogo, mara poti .Wewe dogo nimekustikia,wewe ni pot tata muraaaa,napenda sana story za hizi mtabiri kweli.Umeeleza sahihi
Kabisa mkuuMatumizi mabaya ya Nguvu, Ni kama utumia Rocket launcher, Au RPG kumuua mtu mmoja.
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app