Nini tiba ya kuweweseka ?

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,433
13,415
Kwa ignorants husema wamekabwa wengine husema ni jinamizi,sasa mimi naweza stuka ucku hata mara 7 ninakuwa kama nataka amka ila siwezi ukomand mwili.msaada plz
 
Mkuu hilo tatizo linaitwa sleeping paralysis. Nitatizo linalotokea wakati unapoenda kulala au wakati unapotaka kuamka husababishwa kulala chali(supine position), unywaji wa pombe, stress, mawazo wakati unapoenda kulala husababisha noradrenergic na serotonergic nerve kwenye ubongo unahusiku na usingizi (pon na sehemu zingine za brainsterm structure) kuzuiwa au kupunguza kazi yake kutokana na hali hiyo kunafanya misuli kupoteza kazi au kupungua(loss of muscles function) mgonjwa au mhusika hupatwa na ndoto na kuhisi kama amekabwa ,kubebwa na kitu na kushindwa kutoa sauti(hallucination) kwa sababu muscles zote hupoteza kazi yake na kukufanya usiwe nauweza wa kushindwa hali hiyo. Kingine style ya kulala au chumba kisichokuwa na hewa ya kutosha hufanya kukokesekana kwa oxygen circulation kwenye tissure za muscles na kukosekana kwa energy kitendo kinachopelekea loss of muscle function. Pia ulaji wa chakula solid food na kushiba sana kunafanya moyo kusukuma damu sehemu za tumbo na kufanya sehemu zingine kukoswa blood ya kutosha na kufanya loss of muscle function . Chakufanya jaribu kubadilisha style ya kulala, kula chakula aina ya liquid food au kabla ya kulala kunywa glass nne za maji, fanya mazoezi , usivimbewe (kula kupita kiasi), punguza mawazo,punguza pombe, copy stress
 
nimefanyia kazi ushauri, jana nimeogelea saa nakula ndizi rojo pombe bia moja tuu ,braza nimelala kama kichanga na kazini niko so efficient. asante mkuu ,kumbe kuna watu mnamaarifa makuu hivi .
 
Mkuu hilo tatizo linaitwa sleeping paralysis. Nitatizo linalotokea wakati unapoenda kulala au wakati unapotaka kuamka husababishwa kulala chali(supine position), unywaji wa pombe, stress, mawazo wakati unapoenda kulala husababisha noradrenergic na serotonergic nerve kwenye ubongo unahusiku na usingizi (pon na sehemu zingine za brainsterm structure) kuzuiwa au kupunguza kazi yake kutokana na hali hiyo kunafanya misuli kupoteza kazi au kupungua(loss of muscles function) mgonjwa au mhusika hupatwa na ndoto na kuhisi kama amekabwa ,kubebwa na kitu na kushindwa kutoa sauti(hallucination) kwa sababu muscles zote hupoteza kazi yake na kukufanya usiwe nauweza wa kushindwa hali hiyo. Kingine style ya kulala au chumba kisichokuwa na hewa ya kutosha hufanya kukokesekana kwa oxygen circulation kwenye tissure za muscles na kukosekana kwa energy kitendo kinachopelekea loss of muscle function. Pia ulaji wa chakula solid food na kushiba sana kunafanya moyo kusukuma damu sehemu za tumbo na kufanya sehemu zingine kukoswa blood ya kutosha na kufanya loss of muscle function . Chakufanya jaribu kubadilisha style ya kulala, kula chakula aina ya liquid food au kabla ya kulala kunywa glass nne za maji, fanya mazoezi , usivimbewe (kula kupita kiasi), punguza mawazo,punguza pombe, copy stress
nimefanyia kazi ushauri, jana nimeogelea saa nakula ndizi rojo pombe bia moja tuu ,braza nimelala kama kichanga na kazini niko so efficient. asante mkuu ,kumbe kuna watu mnamaarifa makuu hivi .
 
nimefanyia kazi ushauri, jana nimeogelea saa nakula ndizi rojo pombe bia moja tuu ,braza nimelala kama kichanga na kazini niko so efficient. asante mkuu ,kumbe kuna watu mnamaarifa makuu hivi .

Kawaida tu mkuu ninachokifahamu mimi razima ni msaidie na mwenzangu asante sana kwa feedback nzuri kwakweli umenitia moyo sana
 
Back
Top Bottom