Nini siri ya kiapo kikuu cha Upadri? Tazama mwisho wa Askofu Millingo, Askofu Lukanima...

Mkuu nimekusoma, ila hapa tunaongea vitu viwili Upadri na useja. Kiapo cha upadri ni kumtumikia Mungu. Ukiacha kiapo cha upadri hapo ndipo kuna shida, na siye kila anayeasi upadri lazima aoe. Laana ni pale unapoasi kiapo cha upadri na kwenda kufanya shughuli nyingine hata usipooa.

Padre hula kiapo cha maisha ya useja. Pia kiapo hiki chaweza kutenguliwa na papa akiona inafaa. Si amri ya Mungu ila ni mapokeo, umenisoma? Ni mtaguso wa Trente uliopitisha amri ya makasisi kutooa.

Swali kwako, hivi unafahamu kuwa ndani ya kanisa katoliki kuna mapadre wenye wake kisheria?
 
Duh..
Padre hula kiapo cha maisha ya useja. Pia kiapo hiki chaweza kutenguliwa na papa akiona inafaa. Si amri ya Mungu ila ni mapokeo, umenisoma? Ni mtaguso wa Trente uliopitisha amri ya makasisi kutooa.

Swali kwako, hivi unafahamu kuwa ndani ya kanisa katoliki kuna mapadre wenye wake kisheria?

Sent from my SM-G928T using JamiiForums mobile app
 
Yote haya yanaonekana sasa ......lakini miezi mitatu iliyopita ndiye aliyekuwa shujaa mkuu wa upinzani ..... hivi kama sio unafiki hizi chuki za kupandikiza propaganda za kiwango hiki ni kwa faida ya nani?

Subirini uchaguzi upite tukutane hapa hapa .....
Amesemwa Yule padri mzinzi umekurupuka toka mafichoni
 
Tena mkuu, wenye mtazamo huu wanatakiwa waanzie mwanzoni mwa ukatoliki. Mfano mwepesi ni Padre muasi Martin Luther ambaye ndiye mwanzilishi wa Ulutheri, dhehebu la mh Lowassa. Kama Slaa, Luther naye alikuwa kasisi, akajitoa baada ya kubandika thesis yenye point 95 Wittenberg.

Leo walutheri wanathubutuje kusema Dr Slaa ana laana ya kiapo cha upadre? Hapo hatujazungumzia madhehebu mengine mengi. Tukisema tuanze kuchimbua huku, tutaishia kusema kuna madhehebu yamelaaniwa. Tuache propaganda chafu
Slaa ni mzinzi, tofauti na luther
 
Yote haya yanaonekana sasa ......lakini miezi mitatu iliyopita ndiye aliyekuwa shujaa mkuu wa upinzani ..... hivi kama sio unafiki hizi chuki za kupandikiza propaganda za kiwango hiki ni kwa faida ya nani?

Subirini uchaguzi upite tukutane hapa hapa .....

Huyu mangi anajulikana kwa sumu hatari ya ukabila. Kama Dr Slaa angekubali mgao wa Lowasa hii mada wala isingeanzishwa.

Mungu ni mkuu sana. Miaka 5 baadaye wasaliti wanaumbuka. Wengine wamegeukia ulevi wa aibu.
 
Hapo inaonekana ulikuwa unamlenga dr.Slaa kwa chuki zako binafsi mbona hujamtaja Karugendo au kwa sababu makala zake nyingi zinapingana na katoriki pamoja na serikali
 
Padre hula kiapo cha maisha ya useja. Pia kiapo hiki chaweza kutenguliwa na papa akiona inafaa. Si amri ya Mungu ila ni mapokeo, umenisoma? Ni mtaguso wa Trente uliopitisha amri ya makasisi kutooa.

Swali kwako, hivi unafahamu kuwa ndani ya kanisa katoliki kuna mapadre wenye wake kisheria?
Duh,hii sijawahi kusikia ,naomba kujifunza mkuu! Inakuaje hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Padre hula kiapo cha maisha ya useja. Pia kiapo hiki chaweza kutenguliwa na papa akiona inafaa. Si amri ya Mungu ila ni mapokeo, umenisoma? Ni mtaguso wa Trente uliopitisha amri ya makasisi kutooa.

Swali kwako, hivi unafahamu kuwa ndani ya kanisa katoliki kuna mapadre wenye wake kisheria?
Hili jambo sijawahi kulisikia, hebu elezea zaidi hasa hiyo aya yako ya pili.
 
Siamini kama ni laana sababu kadiri ya imani ya Kikristo Mwenyezi hamchukii mdhambi na akitubu anapokelewa, sisi mfano wanandoa pia tunakiuka hapa na pale viapo vyetu na wala hatutangatangi na kuokotwa tumekufa kama hao makasisi mliowataja, kwa sababu kadiri ya imani katoliki upadre ni sakramenti kama zingine na haizidi zingine bali inashirikiana nazo ktk ujenzi wa ufalme wa Mungu, nachofikiri Mimi hawa watu wanapata matatizo ya kisaikolojia au kiakili kulingana na aina ya maisha wanayopitia kujiandaa na upadre (priestly formation), kwa malezi hayo naamini wanapokiuka dhamiri zao zinawatesa mno na kuishia kwenye matatizo ya kiakili kama grief, depression, hypomania nk. ambayo kwa yenyewe tu mtu asipopata msaada, anapoteza mwelekeo hata kifo.
 
Mapadre na waseminari walioacha ambao hawana elimu dunia hubaki form4&6 leavers huku dumiani. Hivyo maisha yao huwa na changamoto kama wananchi wengine. Ila wale wenye elimu dunia kama sheria,walimu madaktar,manesi huishi maisha mazuri kama wananchi wengine wenye fani hizo na wenye ajira zao
Mtazamo huo wa mwandishi ni finyu sana na ni myth ya kijinga.Ni kutisha watu tu.
 
Mapadre na waseminari walioacha ambao hawana elimu dunia hubaki form4&6 leavers huku dumiani. Hivyo maisha yao huwa na changamoto kama wananchi wengine. Ila wale wenye elimu dunia kama sheria,walimu madaktar,manesi huishi maisha mazuri kama wananchi wengine wenye fani hizo na wenye ajira zao
Mtazamo huo wa mwandishi ni finyu sana na ni myth ya kijinga.Ni kutisha watu tu.
Mkuu, ebu fafanua hiyo sentensi yako ya kwanza kwa mapana.
Mkuu wakati anaongea DR Slaa aliweka kinga ya maneno yake , namnukuu..Ikiwa tuhuma hizi siyo za kweli basi aulizwe mshenga kwa maana ndiye aliyesema hivyo, Mwisho wa nukuu
 
Ni mfumo tu wa maisha hawakuandaliwa kuishi uraiani tokea wakiwa wadogo,wakiasi kuja uraiani wanashindwa kupambana na changamoto za maisha au ndoa
 
Hili jambo sijawahi kulisikia, hebu elezea zaidi hasa hiyo aya yako ya pili.
Duh,hii sijawahi kusikia ,naomba kujifunza mkuu! Inakuaje hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika makanisa ya kiorthodox na makanisa katoliki ya mashariki mwanamume aliyeoa aweza kutawazwa kuwa padre na hivyo kuhudumu akiwa na mke. Katazo pekee ni pale mwanamume ambaye hajaoa anapokula kiapo cha upadre harusiwi kamwe kuoa.

Pia makasisi waliobadili dhehebu toka uanglikani na upentekoste waweza kuwa mapadre wa kanisa katoliki hali wameoa.
 
Hapo sidhani kama ni kiapo huwa kinatesa ila ni aina ya maisha.Kwa mfano umtoe Magufuli leo pale Ikulu aende kuishi Mtaani bila senti yeyote wala hakuwa na akiba yeyote unadhani atasavaivu?
Mapadre maisha yao wanapewa kila kitu na waumini.Mavazi,chakula na malazi.Mara ghafla unatoka mtaani hakuna huduma zote hizo hakuna sadaka hakuna chochote unapewa inabidi utafute kwa nguvu zako na hukuwahi somea au jifunza kazi nyingine yeyote zaidi ya kuhubiri unafikiri utakuwa normal? Lazima uchanganyikiwe
 
tofauti na hao uliowayaja Dr anaonekana kila sehemu anyokwenda anaimudu na anaifanya kwa mafanikio hebu tumpe mda
Kingine ni kwamba hao uliowataja wengi waliondoka kwa kutoroka lakini Dr alifuata taratibu zote na aliondoka kwa hatua zote zinazotakiwa na kanisa ndo maana sasa ni miaka zaidi ya 20 toka ameacha upadri na hakuna tatizo lolote lililomtokea.
Kinachowafanyaga wachanganyikiwe ni kipato.Dr Slaa asingepata Ubunge hata yeye sasa hivi angekuwa chizi
 
Kuoa siyo ishu. Kuna mapadre wengi wa katoliki wameoa kisheria. Hasa wale waliohamia toka madhehebu mengine kama anglikani luthelan nk Pia hivi karobuni kanisa katoliki limeruhusu watu waliooa wawe mapadre ktk maeneo maalum ya AMAZONI, south amerika.
Mapadre wanaochanganyikiwa baada ya kuacha upadre huwa KUKOSA KIPATO. Hata wale ambaohawajaacha utaona kama wamechanganyikiwa. Shida ni uchumi. Wafadhiri toka ulaya soku hizi HAWAPA. Ulaya ukristo ulishajifia.
 
Back
Top Bottom