Nini Sababu za Mbowe na Lowassa kukwepa kongamano kumbukumbu ya Mwl.Nyerere?

mbona unalia lia kijana?...jikite kwenye hoja kwanini wanakwepa makongamano?
Kwani namzungumzia bibi yako hapo ... mpaka useme nijikite kwenye hoja. Kongamano la wastaafu linawaongezea wao kwa raia kama nyinyi wa miemko... mna njaa alafu mna viburi.
 
Nini Sababu za Mbowe na Lowassa kukwepa kongamano kumbukumbu ya Mwl.Nyerere?

Haijawahi kutokea kwenu ninyi kuonekana mkishiriki makongamano na midahalo ya wazi yenye kuzungumzia masuala ya utaifa na nchi kwa ujumla. Mara kwa mara Taasisi ya Mwalimu Nyerere imekuwa ikiandaa mada na hoja zenye kubeba changamoto za utaifa hususani maadili,miiko ya uongozi na vita dhidi ya rushwa. Mara kadhaa vingozi wastaafu kama Jaji Warioba, Dr.Salim, Mzee Butiku nk. Wamekuwa wazungumzaji wakubwa kwenye mada hizo.

Mbowe kama KUB amekuwa kimya kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, Lowassa kwa upande wake hata kwenye kampeni za uraisi mwaka jana hakuwahi kuongelea mikakati yake kudhibiti maadili ya uongozi na vita dhidi ya rushwa. Kinachoshangaza ni kuwa duniani kote vinara wa upinzani ndio huibana serikali na viongozi wa umma kuhusu masuala ya rushwa ila hapa kwetu angalau chama cha ACT-Wazalendo kwa siku za karibuni wameonyesha njia.

Ninaomba tujadili haya kwa mapana kwani hawa ni viongozi wetu, kama watakwepa kuzungumza na kukemea matatizo ya nchi yetu kupitia makongamano kama hili ya Mwl.Nyerere inatia shaka


Je ni kweli hawana cha kuzungumza jinsi gani Taifa letu linaweza kupiga hatua kwa kupiga vita rushwa na kzingatia maadili ya viongozi wa umma?


Je nao ni miongozi mwa tatizo katika jamii yetu hususan katika vita dhidi ya maadili mabovu,rushwa na ubadhirifu wa mali za umma?
kwanini jpm hakwenda bukoba ??na kwann jpm hakwenda simiyu kumuenzi baba wa taifa
 
Kwani namzungumzia bibi yako hapo ... mpaka useme nijikite kwenye hoja. Kongamano la wastaafu linawaongezea wao kwa raia kama nyinyi wa miemko... mna njaa alafu mna viburi.
unalia badala ya kujenga hoja....kwanini 'mstaafu' Lowassa kakimbia kongamano?
 
Walikuwa kwa watindiga, huko hutakiwi kwenda na kamera, wamejadili vya kutosha kabisa.

Ushapata jawabu tuhamie kwa JPM Mwigulu Kigwagwala na Makondya sasa.
TWENDE KAZI.

======UPDATE======
Kwanini JMP aliwakacha mabalozi pale ikulu
unayumba kama mlevi....jikite kwenye mada.
 
Nyinyi vijana wa uvccm ndio mnaochangia kumvua nguo rais.....
Kwa masuala ya kukacha mikutano hebu tuache ....
Kuna mtu mmeshindwa kujiuliza kwa nini anaenda mikutano ya kuapisha rafiki zake ila UN hagusi
 
Nini Sababu za Mbowe na Lowassa kukwepa kongamano kumbukumbu ya Mwl.Nyerere?

Haijawahi kutokea kwenu ninyi kuonekana mkishiriki makongamano na midahalo ya wazi yenye kuzungumzia masuala ya utaifa na nchi kwa ujumla. Mara kwa mara Taasisi ya Mwalimu Nyerere imekuwa ikiandaa mada na hoja zenye kubeba changamoto za utaifa hususani maadili,miiko ya uongozi na vita dhidi ya rushwa. Mara kadhaa vingozi wastaafu kama Jaji Warioba, Dr.Salim, Mzee Butiku nk. Wamekuwa wazungumzaji wakubwa kwenye mada hizo.

Mbowe kama KUB amekuwa kimya kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, Lowassa kwa upande wake hata kwenye kampeni za uraisi mwaka jana hakuwahi kuongelea mikakati yake kudhibiti maadili ya uongozi na vita dhidi ya rushwa. Kinachoshangaza ni kuwa duniani kote vinara wa upinzani ndio huibana serikali na viongozi wa umma kuhusu masuala ya rushwa ila hapa kwetu angalau chama cha ACT-Wazalendo kwa siku za karibuni wameonyesha njia.

Ninaomba tujadili haya kwa mapana kwani hawa ni viongozi wetu, kama watakwepa kuzungumza na kukemea matatizo ya nchi yetu kupitia makongamano kama hili ya Mwl.Nyerere inatia shaka


Je ni kweli hawana cha kuzungumza jinsi gani Taifa letu linaweza kupiga hatua kwa kupiga vita rushwa na kzingatia maadili ya viongozi wa umma?


Je nao ni miongozi mwa tatizo katika jamii yetu hususan katika vita dhidi ya maadili mabovu,rushwa na ubadhirifu wa mali za umma?
Unataka kusema viongozi hao waje kujadili ujinga uliopitiliza,maradhi tena ya ajabu,kunuka umasikini n.k yanayosababishwa na ccm????
Yaani msbabisha matatizo wenyewe na kuwallika wengine au kuwalazimisha washiriki mjadala wa matatizo mliyoyasbabisha wenyewe????
Is not fair, ccm ikqe pembeni na hakuna mjadala zaido ya utatuzi wa mpushe ENL amalize cases hizo za kutengeneza ili kuwatawala Watz.
 
Wanaogopa viboko 12 wakati wa kingia kwenye kongamano 12 wakati wa kutoka ili wakawaonyeshe.....
 
Nini Sababu za Mbowe na Lowassa kukwepa kongamano kumbukumbu ya Mwl.Nyerere?

Haijawahi kutokea kwenu ninyi kuonekana mkishiriki makongamano na midahalo ya wazi yenye kuzungumzia masuala ya utaifa na nchi kwa ujumla. Mara kwa mara Taasisi ya Mwalimu Nyerere imekuwa ikiandaa mada na hoja zenye kubeba changamoto za utaifa hususani maadili,miiko ya uongozi na vita dhidi ya rushwa. Mara kadhaa vingozi wastaafu kama Jaji Warioba, Dr.Salim, Mzee Butiku nk. Wamekuwa wazungumzaji wakubwa kwenye mada hizo.

Mbowe kama KUB amekuwa kimya kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, Lowassa kwa upande wake hata kwenye kampeni za uraisi mwaka jana hakuwahi kuongelea mikakati yake kudhibiti maadili ya uongozi na vita dhidi ya rushwa. Kinachoshangaza ni kuwa duniani kote vinara wa upinzani ndio huibana serikali na viongozi wa umma kuhusu masuala ya rushwa ila hapa kwetu angalau chama cha ACT-Wazalendo kwa siku za karibuni wameonyesha njia.

Ninaomba tujadili haya kwa mapana kwani hawa ni viongozi wetu, kama watakwepa kuzungumza na kukemea matatizo ya nchi yetu kupitia makongamano kama hili ya Mwl.Nyerere inatia shaka


Je ni kweli hawana cha kuzungumza jinsi gani Taifa letu linaweza kupiga hatua kwa kupiga vita rushwa na kzingatia maadili ya viongozi wa umma?


Je nao ni miongozi mwa tatizo katika jamii yetu hususan katika vita dhidi ya maadili mabovu,rushwa na ubadhirifu wa mali za umma?

Hivi ni Kwaya gani ile iliimba huu Wimbo usemao KILA MTU ATAUCHUKUA MZIGO WAKE MWENYEWE? Mnaojua nikumbusheni tafadhalini.
 
Back
Top Bottom