Nini sababu za kumkinai mwanamke?

Nini sababu za kumkinai mwanamke?

Kingmairo

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
4,936
Reaction score
3,548
Wakuu nimekuwa nikijiuliza swali hili lakini sipati jibu. Nimekuwa na hulka ya kupoteza hisia za kupenda jinsi ninavyozidi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa mda mrefu na mwanamke. Hapa simaanishi ku-make love, namaanisha upendo (maana tasfiri yake ni pana zaidi ya tendo hilo). Kwa maana hiyo, nimeshawishika kutafuta relation mpya nyingi kwa wakati tofautitofauti ambazo mara zote mwanzoni malavidavi yanakuwa juu ila muda ukizidi kwenda napoteza hisia hizo. Je hali hii ipo pia kwa wanaume wenzangu? Je ni nini suluhisho lake? maana kubadilisha nimeona sio suluhisho bali ni kuongeza tu idadi!
 
ngumu kumesa,wanaume ngoja waje nimepotea kichochoro.
 
Jaribu kumtengeneza mpenzi unayekuwa naye kwa standard unazotaka , maana ukiwa unapenda ready made ndio madhara yake hayo. Punguza tamaa maana na muombe mungu akupe uvumilivu na upendo wa kweli na akupe yule utakaye mpenda kwa dhati na kumvumilia.
 
Wakuu nimekuwa nikijiuliza swali hili lakini sipati jibu. Nimekuwa na hulka ya kupoteza hisia za kupenda jinsi ninavyozidi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa mda mrefu na mwanamke. Hapa simaanishi ku-make love, namaanisha upendo (maana tasfiri yake ni pana zaidi ya tendo hilo). Kwa maana hiyo, nimeshawishika kutafuta relation mpya nyingi kwa wakati tofautitofauti ambazo mara zote mwanzoni malavidavi yanakuwa juu ila muda ukizidi kwenda napoteza hisia hizo. Je hali hii ipo pia kwa wanaume wenzangu? Je ni nini suluhisho lake? maana kubadilisha nimeona sio suluhisho bali ni kuongeza tu idadi!

Usihofu ni jambo la kawaida. Wanaume wengi wana tabia hiyo. Ndo maana kuna nyumba ndogo. So, we endelea ku-enjoy maisha yako.

 
Hizo ni tamaa zako za mwili na umalaya wako na sio upendo wa dhati kutoka moyoni. Ndio maana unamchoka baada ya kukidhi hamu zako. Kwa mtindo huo huwezi kamwe kuridhika hata ukipewa dunia nzima. Muombe Mungu akupe uwezo wa kushinda dhambi ya uasherati iliyokutawala na akupe Mke mwema wa kuishi nae, vinginevyo utazikwa siku si nyingi.
 
Kingmairo, wenzio wanaona aibu kuvulia nguo kila mwanamke, wewe inaonekana cha kwako njenje na huna aibu, mwanaume wewe!!

Mdau we acha tu, ukiona hadi nimeandika hapa ujue nimeshaacknowldege that its something disturbing! I really want to have the one and only but.......
 
Acha waje wanaume kwenye mada hii, labda itatusaidia kugundua kwanini vibanda hasara vinakuwa vingi??
 
Hiyo ni kawaida kwa binadamu wote, mwanzo wa kila kitu unakuwa na shahuku na shamlashamla nyingi, lkn baada ya muda kupita unaona kawaida, hii ipo ktk kila kitu kwa binadamu siyo ktk mapenzi tu, mfano ukinunua kitu kipya utakipenda sana, lkn baada ya muda kitakuishia mvuto. Pia wanadamu tumeumbwa na mabadiliko, huenda mtu anapobadilika tabia au umbile husababisha mvuto pia upungue/uishe.
 
Au unatongoza wabaya wazuri unawaogopa!?

Mkuu uzuri ni subjective, so kama mzuri kwangu mwanzoni hawezi kuwa mbaya baadae. Ila mzuri kwangu anaweza kuwa mbaya kwa mwingine. So uzuri si factor for this!
 
Wakuu nimekuwa nikijiuliza swali hili lakini sipati jibu. Nimekuwa na hulka ya kupoteza hisia za kupenda jinsi ninavyozidi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa mda mrefu na mwanamke. Hapa simaanishi ku-make love, namaanisha upendo (maana tasfiri yake ni pana zaidi ya tendo hilo). Kwa maana hiyo, nimeshawishika kutafuta relation mpya nyingi kwa wakati tofautitofauti ambazo mara zote mwanzoni malavidavi yanakuwa juu ila muda ukizidi kwenda napoteza hisia hizo. Je hali hii ipo pia kwa wanaume wenzangu? Je ni nini suluhisho lake? maana kubadilisha nimeona sio suluhisho bali ni kuongeza tu idadi!
NIKWAMBIE!..............
unajikinai mwenyeeewe!
ladha ya ulimi mate yake babu!
 
Hii mada muhimu jamani hata mimi ni mkaka na imekuwa ishu kuoa kwa sababu hii pia. Not necessarly u must have sex ndo umchoke ila tu ukishakaa muda ankuboa. My solution nimeamua kuwa na marafiki kibao not for sex anyway, na ambaye sitomchoka then will be the choice. Hope itasaidia.
 
Japo mie si kaka ila mazoea ya ujana yanacount sana hapa, kama umezoea kuwa ndio center of attention ya uhusiano, unaingia for 'taking' not 'giving' lazima utakuwa hivyo,
pole sana, na wadada nao wameadimika sishangai sana.
Kama bado hujachelewa, unaweza kujaribu *kuufungua moyo wako, *jaribu kujifunza kuheshimu commitment kuliko kusikilizia hisia za mwili yani raha.
 
Demu hata awe mzuri vipi ukimmega sana utamchoka tuu. Ndo maana kuna msemo" ukimwona wa nini wengine wanamtamani"
 
Vipi umewauliza kama na wao huwa wanakukinai?
 
hujapata wa kukukuna ambapo hujawai kukunwa...ukimpata utarudi na kufuta kauli...
 
Nawapinga baadhi ya wachangiaji, sio lazima kuwa na sex ndo umchoke, hata kwenye uhusiano wa kawaida tu. Ishu inakuja when unangalia if she is a true model you want or anafanania?
 
Dogo nijibu swali ili nipate mwanga nikusaidie je, unajipa muda gani mpaka kumtamkia mwanamke kwamba unampenda?
 
Back
Top Bottom