idrissa ukwaju
Member
- Mar 20, 2017
- 35
- 27
Wakuu wa Jamii Forum
Ningeomba tujuzane hapa katika uzi huu,
Tatizo linaloweza kusababisha mtu asijiamini na afanye kipi ili kuepuka tatizo hili maana limeshamili sana hasa kwa vijana wa sasa hivi kupelekea kushindwa kutekeleza majukumu yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningeomba tujuzane hapa katika uzi huu,
Tatizo linaloweza kusababisha mtu asijiamini na afanye kipi ili kuepuka tatizo hili maana limeshamili sana hasa kwa vijana wa sasa hivi kupelekea kushindwa kutekeleza majukumu yao.
Sent using Jamii Forums mobile app