Nini sababu ya dunia nzima kutikiswa na Marekani?

Nini sababu ya dunia nzima kutikiswa na Marekani?

Ahsante mkuu wengi walikuwa kama wewe lkn kwasasa niwahubiri injili maarufu
 
WanaJF, kwa imani yangu ya kikristo Marekani ndio mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha Marekani kwa vita au njia yoyote ile mpaka siku ya kiama kutokana na utabiri wa biblia na kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya Marekani.

Nawasilisha wakuu.
Kama uonavyo leo marekani ni super power basi huko nyuma walikua ma'super power kama leo umuonavyo marekani! Kuna jeshi la farao enzi hizo! Ilikua hattary sana! Halafu jeshi la kirumi walikua untouchble! Sasa kila zama na zama zake! Litakuja super power mwingine zaidi ya marekani! Maana nyakati hubadilila!!!
 
Katika kitu walifanikiwa hawa wazungu na Waarabu ni kutuletea huu usanii wao wa dini. Huwa siungi mkono misimamo ya North Korea lakini kuipiga marufuku Biblia nchini kwao ni uwamuzi wa busara sana ambao mtu yeyote mwenye akili za kitumwa kutoka Magharibu na kwa waarabu kamwe hawezi kuitambuwa busara hii ya North KOREA.
Basi kuanzia leo tembea uchi na uishi maisha kama watu wa zamani!! Kulala porini na kadhalika! Wala ushichelewe!!
 
Marekani linatambulika duniani tu ila kwenye biblia halipo.
 
Mkuu CH4 has high global warming potential itself.
Pia CH4 ikiburn inatoa nini kwani???
Unajua chemical equation ya combustion ya CH4?

Kama hivo hata jua lingeongoza global warming mkuu hapa issue kubwa ni forsil fuel zinazoongoza carbondioxide angani au hewa ukaaa gas inaeza ongeza heat but to the content of the likes of charcoal or petrol
 
Ukizungumzia marekan unazungumzia Israel the most powerful nation kwa hyo sidhani na sitegemei kama kuna nchi itaweza kuiangusha marekani.Marekani ndo baba na mama wa dunia
 
Naona ni taifa kubwa kwa propaganda ila siyo kivita. Walichogundua wamarekani ni kuwa walichojivunia navyo vyote siku hizi aidha Urusi au Uchina anavyo. Pili, Uchina ina population kubwa na ni advantage kwao na hivyo lazima wawe na jeshi kubwa. Kinachosubiriwa ni pambano ili wajue ni yupi Sungura mjanja.
 
Naona ni taifa kubwa kwa propaganda ila siyo kivita. Walichogundua wamarekani ni kuwa walichojivunia navyo vyote siku hizi aidha Urusi au Uchina anavyo. Pili, Uchina ina population kubwa na ni advantage kwao na hivyo lazima wawe na jeshi kubwa. Kinachosubiriwa ni pambano ili wajue ni yupi Sungura mjanja.
mkuu hebu tuweke hisia pembeni hivi ukiambiwa utaje mataifa makubwa kwenye nyanja za kijeshi marekani utaiacha kando?
 
Mmarekani amemshindwa mrusi hadi amekimbilia NATO... Suala la Russia kutokumtii marekani linawaumiza vichwa sana Marekani kwa sababu wamezoea kuabudiwa
 
Leo wikend tunahitaji kuturiza kichwa,hizi post zingine za dalasa LA 2,unatupunguzia mb zetu bwana.kwa sasa USA ni ya kawaida tu kiuchumi hata kivita ndio maana bwana trump kaulimbiu yake to make USA greater again
Kwa iyo waliofika university ndio huwa wanaandika kama wewe hivi!!?...Basi hivi vyuo ni majanga matupu aisee...
 
Mtoa mada jaribu kuangalia vituo vya television tofauti tofauti usiangalie ITV,Clouds TV pekee kaka utaishia hapo ulipoona ndo mwisho Wa uelewa wako kuna mataifa makubwa zaidi ya USA na yapo vizuri kiuchumi na military bases
Embu nitajie taifa kubwa kuliko US kiuchumi na ki jeshi kwa sasa?...Uweke na source please.
 
Mmarekani amemshindwa mrusi hadi amekimbilia NATO... Suala la Russia kutokumtii marekani linawaumiza vichwa sana Marekani kwa sababu wamezoea kuabudiwa
Acha kutoa mapovu kijinga bila kutumia akili...Toka enzi na enzi hakuna hata siku moja mrusi ashawahi kumuabudu mmarekani na wala haitakuja kutokea hata kwa china ..Lakini kwa miaka yote hiyo toka kuvunjika kwa USSR marekani amebaki kuwa super power mpaka sasa na hata Putin alishakiri hilo kwenye moja ya mahojiano na waandishi wa habari...Na ukisema mmarekani amemshindwa urusi sijui unamaanisha nini,maana sijaona vita ya nchi hizi mbili siku za karibuni hadi useme mrusi amemshinda marekani....Naiheshimi sana urusi kwa uwezo wake wa kijeshi na kujaribu kutafta balance of power,i respect that...But hii haiwez kufuta ukweli ambao hata Putin anaufahamu kwamba endapo ikitokea conventional war kati ya urusi na marekani,urusi inabid ashinde vita hiyo kwa muda mfupi sana yaani ndani ya mwaka au miezi kadhaa,kitu ambacho ni ndoto kutokea.. Hiii ni kutokana na ukweli kwamba russia hana uwezo wa kusimama convesional war na US kwa mda wa miaka mi 5 au 10 bila ya urusi kusambaratika kiuchumi...Russia ana uwezo kijeshi sana but hana uwezo wa kupigana na marekani vita miaka mingi mfululizo sababu she has a weak economy...Hilo hata Putin anafahamu ndio weakness kubwa kwa Russia.
 
Marekani inaitwaje kwa lugha ya Kibiblia
Ni kondoo mwenye pembe za mbuzi [emoji773] [emoji773] [emoji773] [emoji773] [emoji773] [emoji773] [emoji773]
 
Mtoa mada jaribu kuangalia vituo vya television tofauti tofauti usiangalie ITV,Clouds TV pekee kaka utaishia hapo ulipoona ndo mwisho Wa uelewa wako kuna mataifa makubwa zaidi ya USA na yapo vizuri kiuchumi na military bases
Kama yapi?
 
Acha kutoa mapovu kijinga bila kutumia akili...Toka enzi na enzi hakuna hata siku moja mrusi ashawahi kumuabudu mmarekani na wala haitakuja kutokea hata kwa china ..Lakini kwa miaka yote hiyo toka kuvunjika kwa USSR marekani amebaki kuwa super power mpaka sasa na hata Putin alishakiri hilo kwenye moja ya mahojiano na waandishi wa habari...Na ukisema mmarekani amemshindwa urusi sijui unamaanisha nini,maana sijaona vita ya nchi hizi mbili siku za karibuni hadi useme mrusi amemshinda marekani....Naiheshimi sana urusi kwa uwezo wake wa kijeshi na kujaribu kutafta balance of power,i respect that...But hii haiwez kufuta ukweli ambao hata Putin anaufahamu kwamba endapo ikitokea conventional war kati ya urusi na marekani,urusi inabid ashinde vita hiyo kwa muda mfupi sana yaani ndani ya mwaka au miezi kadhaa,kitu ambacho ni ndoto kutokea.. Hiii ni kutokana na ukweli kwamba russia hana uwezo wa kusimama convesional war na US kwa mda wa miaka mi 5 au 10 bila ya urusi kusambaratika kiuchumi...Russia ana uwezo kijeshi sana but hana uwezo wa kupigana na marekani vita miaka mingi mfululizo sababu she has a weak economy...Hilo hata Putin anafahamu ndio weakness kubwa kwa Russia.
True Russia wako vizuri lakini uchumi wao hauko vizuri kama marekani
 
K
Biblia imeandikwa kwa mafumbo sababu wokovu si lelemama, ni hazina iliyositirika sana yeye achimbaye sana ndiye atakayeiona. Daniel 2:1-45
Kwahiyo Roho wako mtakatifu amekuambia kuwa hizo ndoto na kingdoms maana yake Marekani??
Kasome tena hiyo Daniel 2:1-45 havihusiani hata kidogo na hilo bandiko lako....
 
Back
Top Bottom