dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,833
- 3,750
kufa kwako ndio mwisho wako, hizo stori nyingine ni shamra shamra tu katika kusherehesha tafrija ya maisha yetu hapa duniani.kuna taifa kubwa litaangushwa na hapo dunia nd itakuwa mwisho.
kufa kwako ndio mwisho wako, hizo stori nyingine ni shamra shamra tu katika kusherehesha tafrija ya maisha yetu hapa duniani.kuna taifa kubwa litaangushwa na hapo dunia nd itakuwa mwisho.
Hiyo lugha yako tu. ..dah. .hakika watu watavuna wanayoyapanda! Hiyo ndiyo dini kamilifu. ..Someni kitabu chote cha Ufunuo wa Yohana, kuna sehemu mtaona ukweli kuhusu Marekani, angalizo, Biblia siyo kitabu cha hadithi, kuielewa unatakiwa uwe na hekima ya Ki Mungu, na siyo Upu*mbavu wa ki ccm hapo hutajua lolote.
Weka mistari ya hiyo bible yako kwanza........WanaJF, kwa imani yangu ya kikristo Marekani ndio mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha Marekani kwa vita au njia yoyote ile mpaka siku ya kiama kutokana na utabiri wa biblia na kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya Marekani.
Nawasilisha wakuu.
Someni kitabu chote cha Ufunuo wa Yohana, kuna sehemu mtaona ukweli kuhusu Marekani, angalizo, Biblia siyo kitabu cha hadithi, kuielewa unatakiwa uwe na hekima ya Ki Mungu, na siyo Upu*mbavu wa ki ccm hapo hutajua lolote.
Mkuu hongera kwa university
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] eti upumbavu wa kiccm utakuwa unatafuta Lizabon akung'oe kucha wewe huwezi kukiponda chama chake pendwaSomeni kitabu chote cha Ufunuo wa Yohana, kuna sehemu mtaona ukweli kuhusu Marekani, angalizo, Biblia siyo kitabu cha hadithi, kuielewa unatakiwa uwe na hekima ya Ki Mungu, na siyo Upu*mbavu wa ki ccm hapo hutajua lolote.
Mtoa mada jaribu kuangalia vituo vya television tofauti tofauti usiangalie ITV,Clouds TV pekee kaka utaishia hapo ulipoona ndo mwisho Wa uelewa wako kuna mataifa makubwa zaidi ya USA na yapo vizuri kiuchumi na military bases
Uko deep sana kiongozi hongera sana[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Anglia unabii wa Daniel, nusu chuma nusu udongo
Hamia huko then usubilie malipo yako baada ya kuiacha dunia hii tuliopoKatika kitu walifanikiwa hawa wazungu na Waarabu ni kutuletea huu usanii wao wa dini. Huwa siungi mkono misimamo ya North Korea lakini kuipiga marufuku Biblia nchini kwao ni uwamuzi wa busara sana ambao mtu yeyote mwenye akili za kitumwa kutoka Magharibu na kwa waarabu kamwe hawezi kuitambuwa busara hii ya North KOREA.
Nitake radhi mkuu kunifananisha na ccm.
Pili ungenijibu kwa kunielewesha ili nielimike. Kwani hata wewe unafikiri unajua kumbe hujui ila unajifunza. busata ni bora kuliko ujinga.
to flare doesn't necessarily means its unclean energy issue ni kuwa natural gas does not emit cobondioxide molecules