Nini njia 'polite' ya kumuita mtu??

Nini njia 'polite' ya kumuita mtu??

Tripo9

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
4,373
Reaction score
3,586
Tupo wengi dunia hii (Tz sasa tupo 40million). Tunakutana kila kukicha.
Nini 'polite way' ya kumuita mtu ambae humjui jina na pia wakati mwingine hata kama m2 unamjua jina kwa kua hamjazoeana nae na pengine mumepishana ki-umri(mkubwa/mdogo kwako).
Je utamuitaje: dada/kaka, uncle/ant, Mr/Mrs, mkuu/dogo, aisee, aloo, jamaa angu/mtu angu, kamanda, MCHIZI, Wa-kusoma, mzee, baba/mama, mdogo angu, Boss, shosti, mamdogo ???,......

Na-kliki submit
 
Back
Top Bottom