profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,134
Wanajamvi,naomba waelewa wa mambo ya uchumi mtufafanulie hili,,iwapo nchi zote duniani zitaachana na matumizi ya US dollar,Kama pesa ya kibiashara ya dunia,hivi bado uchumi wa Marekani utakuwa imara kama sasa?