Bullycheka
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 560
- 492
Tazama vizuri uone wapingaji mmeona data hizo. Bado kuna mengi mkija kupinga mje na data
Hii hapa military spendingView attachment 1207981
Hii hapa military spendingView attachment 1207981
Mkuu katka masuala hayo usiibize China.Umenena ujio wa Bwana Yesu Kristo ndo mwisho wa America. Asomae na afahamu unabii huo. America ya leo upande wa ARMY kibajeti wakiwapa China kuudumia jeshi lote la America mpk base zake duniani Kwa mwaka Moja tu China inatangaza kufilisika.
Je uliwahi kujiuliza ARMY SPENDING ya America kwa mwaka ni asilimia ngapi kwa majeshi yote duniani???? Tafuta data ujue.
Je, uliwahi kujiuliza America ina multi billionaire wangapi? Je, uliwahi kujiuliza America ina multi millionaire wangapi? Je uliwahi kujiuliza America ina most powerful ktk sector maelfu mangapi ktk dunia hii? Ukipata hizo zote ukichanganya na masuala ya technology, masuala ya anga za juu na anga za mbali jiulize pesa zote hizo wanapata wapi????
Ukishatafakari na kupata jibu geuza ubao huo kisha mkabidhi China kwa mwaka Moja tu aendeshe mambo yote hayo ya America, mpe China mwaka moja uone km ataweza.