Nini mchango wa Freemasons katika ukuaji wa uchumi wa Tanzania?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,585
15,366
Wakuu nimekaa kijiweni najiuliza hawa mabwana wana mchango gani katika maendeleo ya nchi yetu?

Wanakakanisa pale karibu na BOT, ila tofauti na makanisa/misikiti mingine sijawahi kusikia wanafanya mikutano ya hadhara (huamasisha amani).

Kutoa misaada kwa jamii (Yatima, wagonjwa na walemavu).

Kusomesha wasiojiweza.
Pia inasemekani ni watu wenye pesa mingi sana na akili nyingi sana, kwa nini nchi hii iendelee kuwa masikini ikiwa wababe hawa wanapatikana nchini?

tunafeli wapi kuwatumia ili watupige tafu tuweze kuwa donor country.

NOTE: Simaanishi Waganga, na wale matapeli mabarabarani wanaojiita freemasons hapa namaanisha wale wababe wasomi, watu wakubwa duniani ambao kiongozi wao alikuwa ni Mzee Chande.
 
Yani the more you look closely, the more you lose focus.
Freemasons hawako kama story za vijiweni zinavyo wasema
 
Mzee chande mbona alikuwa anasaidia sana?? Kawatoa kina mondi na harmonize...mengi wanafanya lakini in the background
 
Jamani ufreemason mnayoongelea nyie siyo hii freemason inayojulikana, hiyo yenu ni conspiracy theory, na ni akili za kimaskini ndio zinazoongeleaga huo ufreemason. Mi nadhani wengi wanaoiongelea hii issue ni kwa sababu wamefeli kimaisha na wanaichukulia kama excuse ya wao kushindwa.
Hakuna shortcuts, piga kazi au baki ukilialia tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani ufreemason mnayoongelea nyie siyo hii freemason inayojulikana, hiyo yenu ni conspiracy theory, na ni akili za kimaskini ndio zinazoongeleaga huo ufreemason. Mi nadhani wengi wanaoiongelea hii issue ni kwa sababu wamefeli kimaisha na wanaichukulia kama excuse ya wao kushindwa.
Hakuna shortcuts, piga kazi au baki ukilialia tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
hao hao unaowajua wewe ndio nawaongelea mimi mkulu.
wana lodges karibu dunia nzima.
 
Kuwa na lodges haimaanishi chochote, mbona wagiriki wana Greek clubs nyingi tuu hata hapo Bongo na hakuna anayequestion.

Sent using Jamii Forums mobile app
nini unadhani ni uhalisia wa hawa mabwana.
kwa muundombinu wao pale na kwa point zao basi inawezekana wakawa ni watu/taasisi masikini kuliko zote nchini
Ila tunasikia na kuambiwa hao jamaa ni watu wazito na wako vizuri katika mitandao yao.
hata mazishi ya mkuu wao watu waliokuwepo sio wa kawaida
 
Hizo ni hadithi za vijiweni tuu, ni kundi kama makundi mengine na lina members wa kawaida na wengine ambao ni matajiri.
Kuwaona matajiri tuu ni kwa sababu jamii imeaminishwa hivyo.
Freemasons is just a sorority group

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni hadithi za vijiweni tuu, ni kundi kama makundi mengine na lina members wa kawaida na wengine ambao ni matajiri.
Kuwaona matajiri tuu ni kwa sababu jamii imeaminishwa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe ni watu wema tu hatuna haja ya kuwaogopa.
Mbona hawafanyi mikutano ya injili/miadhara kuongeza memba au ni kama kijiwe tu flani wanakutana marafiki kubadilishana story za maisha hawana haja ya kushobokea watu wapya kwenye umasoñi wao
 
Wao sio spiritual group ni fraternity group, members ni by invitation only, hawafanyi matangazo maana hawana cha kukuoffer, ww unayejiunga ndio unakuja na kitu. Nchi za magharibi hawana undugunization lakini wana kitu kinaitwa networking na ndio kinaunganisha watu wengi ambao wako successful, hizo zingine mnazosikia ni story tuu za mitaani.
kumbe ni watu wema tu hatuna haja ya kuwaogopa.
Mbona hawafanyi mikutano ya injili/miadhara kuongeza memba au ni kama kijiwe tu flani wanakutana marafiki kubadilishana story za maisha hawana haja ya kushobokea watu wapya kwenye umasoñi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom