- sharti la kwanza ukivaa suti usipande bodaboda, bajaj au basi
- Usiwe mwenye kutembea kwa miguu wala kula ovyo barabarani
- Usitamani mali wala kitu cha mwenzio kwan waonekana kibopa
- Usikaribie kwenye majanga mara uyaonapo
- Usichekechecke ovyo barabarani au kwenye kumbi zozote au
sehemu za kazi, ama kwenye function yoyote ile