Unaishi nchi gani wewe mama mkwe? vidumu si ndiyo vitaongeza mtandao? Hebu toa ushauri wenye akili kama weweWanaume waache kuwa over used wakiingia kwenye ndoa. Tatizo wengi wakioa ndipo huongeza idadi ya nyumba ndogo.
Na kina dada wapunguze uzembe, wafanye mazoezi ikibidi nao watafute vidumu ili watumike na na kuunguza calaries.
Au we unaonaje?
i do agreed with uwanaume waache kuwa over used wakiingia kwenye ndoa. Tatizo wengi wakioa ndipo huongeza idadi ya nyumba ndogo.
Na kina dada wapunguze uzembe, wafanye mazoezi ikibidi nao watafute vidumu ili watumike na na kuunguza calaries.
Au we unaonaje?
KWELIIIIIII! maana na mi nna kajikitambi kwa kweli!Wanaume waache kuwa over used wakiingia kwenye ndoa. Tatizo wengi wakioa ndipo huongeza idadi ya nyumba ndogo.
Na kina dada wapunguze uzembe, wafanye mazoezi ikibidi nao watafute vidumu ili watumike na na kuunguza calaries.
Au we unaonaje?
Mheshimiwa utafiti wako umeufanyia wapi? Nafikiri Kaunga yuko sahihi kusema hao ni wale wanaoongeza vidumu baada ya kuoa au kuolewa, kwa upande wangu nashukuru Mungu kabla sijaoa nilikuwa "slim" lakini baada ya kuoa nimekuwa bonge mpaka nimeanza "Diet" na mazoezi gym.Katika pitapita zangu nimekutana nayo, hebu jaribu kutoa ukweli juu ya hizi picha na unafikiri nn kifanyike ili
pasitokee haya.
.View attachment 68621
Wanaume waache kuwa over used wakiingia kwenye ndoa. Tatizo wengi wakioa ndipo huongeza idadi ya nyumba ndogo.
Na kina dada wapunguze uzembe, wafanye mazoezi ikibidi nao watafute vidumu ili watumike na na kuunguza calaries.
Au we unaonaje?
Wanaume waache kuwa over used wakiingia kwenye ndoa. Tatizo wengi wakioa ndipo huongeza idadi ya nyumba ndogo.
Na kina dada wapunguze uzembe, wafanye mazoezi ikibidi nao watafute vidumu ili watumike na na kuunguza calaries.
Au we unaonaje?
Unaishi nchi gani wewe mama mkwe? vidumu si ndiyo vitaongeza mtandao? Hebu toa ushauri wenye akili kama wewe