Nini madhara ya kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ina mlipuko wa Zika kwa 15.6%?

2bad32a9d451f59223c8c6b76199ba6f.jpg

Cdc marekaniii wanataadharisha watu kuja tz
hailet impact yeyote hata wakitumbuana

Ila JPM kapanic asee mshaurini bas hata aende Hawaii this x-mass akirudi am sure atakua kabadilika
[HASHTAG]#free[/HASHTAG] melo
[HASHTAG]#bring[/HASHTAG] Ben
[HASHTAG]#justice[/HASHTAG] for lema
 
Mtafiti hakusema kuna mlipuko bali ugonjwa upo. Kuna tofauti kati ya kauli hizo mbili na hiyo yako ndio inaleta taharuki. FYI ugonjwa wa Zika uligundulika Uganda na hivyo chances kuwepo Tanzania ni kubwa. Hata neno lenyewe ni.la Kiswahili.
Nini madhara ya kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ina maambukizi ya Zika kwa 15.6%?
 
Nafikiri wengi wanaonekana kulichukulia suala tangazo la Zika kwa ulimwengu kama jambo la kawaida. Tunakumbuka Miaka michache iliyopita baada ya madhara ya mlipuko wa dhahiri wa Zika kuikumba Brazil ilifika almanusura michuano ya olimpiki ipigwe marufuku,na hata kombe la dunia nchini humo liliathirika.

Natambua wengi wanafikiri uwepo wa Zika Tanzania utawanufaisha kisiasa au utawasaidia kupata umaarufu kisiasa ndio maana pengine wameibuka watu wanaotumia mwanya huu pengine kufurahia jambo hili.

Sipingi utafiti wa wataalamu wa afya tena ni taasisi ya serikali ila nimetaka kujua kutoka kwa wajuzi ni hatua gani hupitia ili kutangaza janga Fulani kwa nchi hasa la maradhi kwani matamko mengine huleta tafrani kubwa na kuathiri utalii,uwekezaji nk.

Nini madhara ya kuitangaza Tanzania kuwa imekumbwa na janga la Zika? ni taratibu gani hutumika kutangaza majanga? utafiti wa NIMR ulifadhiliwa na nani? kama ni serikali Je serikali ilipewa ripoti kabla ya kutangazwa kwa ulimwengu?
Hakuna madhara, kuna faida kubwa.
 
Nafikiri wengi wanaonekana kulichukulia suala tangazo la Zika kwa ulimwengu kama jambo la kawaida. Tunakumbuka Miaka michache iliyopita baada ya madhara ya mlipuko wa dhahiri wa Zika kuikumba Brazil ilifika almanusura michuano ya olimpiki ipigwe marufuku,na hata kombe la dunia nchini humo liliathirika.

Natambua wengi wanafikiri uwepo wa Zika Tanzania utawanufaisha kisiasa au utawasaidia kupata umaarufu kisiasa ndio maana pengine wameibuka watu wanaotumia mwanya huu pengine kufurahia jambo hili.

Sipingi utafiti wa wataalamu wa afya tena ni taasisi ya serikali ila nimetaka kujua kutoka kwa wajuzi ni hatua gani hupitia ili kutangaza janga Fulani kwa nchi hasa la maradhi kwani matamko mengine huleta tafrani kubwa na kuathiri utalii,uwekezaji nk.

Nini madhara ya kuitangaza Tanzania kuwa imekumbwa na janga la Zika? ni taratibu gani hutumika kutangaza majanga? utafiti wa NIMR ulifadhiliwa na nani? kama ni serikali Je serikali ilipewa ripoti kabla ya kutangazwa kwa ulimwengu?
Kutangaza Mtangaze wenyewe ma CCM mtumbuane halafu mnakuja kulalamika huju JF
Shame on you
 
Sasa hao watalii waje kwa pesa zao watumie pesa zao
halafu tuwazawadie Zika hivi una akili wewe

yaani unajua huyu mtu kaukwaa halafu unagegedana nae ??
Kwa hiyo kama hujui kaukwaa ni poa tu kugegedana naye sio ?
 
2bad32a9d451f59223c8c6b76199ba6f.jpg

Cdc marekaniii wanataadharisha watu kuja tz
hailet impact yeyote hata wakitumbuana

Ila JPM kapanic asee mshaurini bas hata aende Hawaii this x-mass akirudi am sure atakua kabadilika
[HASHTAG]#free[/HASHTAG] melo
[HASHTAG]#bring[/HASHTAG] Ben
[HASHTAG]#justice[/HASHTAG] for lema
wacha waendelee kujitekenya
 
Zika ni ugonjwa ambao unaletwa na Virus.jambo la msingi la kuzingatia hapa ni kwamba The "Elite" au Illuminati wanatuona sisi kama adui zao,kwa hiyo hii ni silaha against us.Kwa maana nyingine they are at war with us,and this is one of their weapons,a "bio-weapon."Ugonjwa huu au silaha hii ya kibayolojia imetengenezwa katika maabara za Marekani.Zika hata hivyo sio ugojwa serious kihivyo,ila disease pressure has been overblown kama ilivyo kwa AIDS ili kuwatisha wanadamu.Ugonjwa hauna dawa wala chanjo kwa sasa.

Pamoja na kuua watu,lakini nia ya ugonjwa huu pia ni kufanya biashara pamoja na kuleta matisho kwa wanadamu. Ni rahisi kum-manipulate unavyotaka mtu mwenye woga because he lacks confidence!

Hilo jina "Zika" is borrowed from Uganda.There is a forest in Northern Uganda by the name of Zika.Si ajabu mbu wenye ugonjwa wa Zika ndipo walipokuwa released kwa mara ya kwanza ili waishambulie Africa.

Kama unataka kusoma zaidi Google sehemu zifuatazo.

1.Who is behind the Zika virus outbreak....

2.Zika virus conspiracy:This is why Brazil is ground zero for the latest bio-engineered pandemic.

3.Zika virus-Wikipedia.

4.Zika:A real threat or another hoax to promote medical...
Zika ni nini wakuu?
 
Pimbi kabisa iko wapi kambi ya zika, wangapi wamelazwa kisa zika.
Huyu.maza kaikosea sana taaluma yake.
Nyumbu mkubwa wewe! Nani kakwambia wamejaza watu, amekwambia damu inaonyesha wana virusi wa zika! Subiri Watoto watakaozaliwa na hao wamama wenye zika ukishawaona ndio utafungua mdomo vizuri
 
Nyumbu mkubwa wewe! Nani kakwambia wamejaza watu, amekwambia damu inaonyesha wana virusi wa zika! Subiri Watoto watakaozaliwa na hao wamama wenye zika ukishawaona ndio utafungua mdomo vizuri
Matusi ya nini dogo? jenga hoja utaeleweka tu.
 
Acha kupotosha. Hiyo asilimia ni ya sample size ya watu 536 na sio 48m.
Hakuna madhara yeyote wewe endelea na shughuli zako na kampongeze Polepole akupe hata buku.
'sample size' inawakilisha idadi ya watu wote au hujui dogo? rudi shule ili uelewe maana yake.
 
Nina hakika furaha yako kubwa ni pale nchi inapopata majanga.
no furaha yangu kubwa kuona nchi ipo kwenye amani na wanachi wapo kwenye hali nzuri.. siwezi ombea chungu nacho pikia kipasuke never .. napenda tanzania ila kuna watu wachache wanataka kufanya kila kitu siasa hapo ndipo napo chukia
 
Back
Top Bottom