Nini madhara ya kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ina mlipuko wa Zika kwa 15.6%?

Natumaini wewe mtoto wako au familia yako ndio itakuwa mrejesho usibishane na phd ya u doctor

wewe kabishane na wakina kigwagalla na wale wote walio disco na kununua majina.

HUNA ELIMU YA JUU



swissme

Jinsia gani we we?
 
Mkuu ni kweli sipingi UTAFITI na MATOKEO yake. Ila utoaji wahabari NYETI kama hiyo ambayo ni TISHIO kwa usalama wa taifa letu katika nyanja nyingi ni HATARI sana madhara yake KIUCHUMI ni makubwa sana.

NIMRI ingeijulisha wizara ya Afya na KUWAPA ALERT, Waziri ANAWAITA wataalamu WANALIZUNGUMZIA, na kama ni kweli, basi anamjulisha Rais.

Rais ANAWAITA washauri wake "TUFANYE NINI?" Watamshauri Pengine atawaambia ngojeni kwanza mpaka MHAKIKI upya. KUDHIBITISHA.

Baada ya hayo ikidhibitishwa kuwa ni kweli Taarifa ya serikali INAANDIKWA kwa weledi sana ili KUZUIA taharuki ndivyo mambo yalivyo. Lakini hili la kutoa habari KIHOLELA si sawa!!
 
20432100b0c58ba99f6a6125c90e6b57.jpg
43bcb71f33a5b13a1f38c54f76b2bfd8.jpg
 
Hivi kwa nini mnataka kuficha maradhi ili kifo kituumbue acheni kutudanganya watanzania Dr mwele yupo sahihi acheni siasa kwenye mambo ya maana
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
Dr alikurupuka sana tena sana kutangaza kuwepo kwa Ugonjwa wakati alitakiwa atangaze kuwa anafanya utafiti na ni test ya vipimo vya Zika...kuhitimisha nchi ina Zika sio kitu kidogo na kingeweza kutugharimu sana kiuchumu kama hatua zisingechukuliwa.....
 
Zika ni ugonjwa mbaya sana kwa watoto yaani mtoto anazaliwa na kandonga kadogoo na mijicho futu lakini anakua bonge daah mi naona hawa manywele wametengeneza hili dude wamezidi cross breeding researches mpaka mungu anachukia daaah
 
Hivi kwa nini mnataka kuficha maradhi ili kifo kituumbue acheni kutudanganya watanzania Dr mwele yupo sahihi acheni siasa kwenye mambo ya maana
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
mambo huwa hayaendi hivo pimbi wewe
 
Nafikiri angepeleka matokeo ya tafiti zake Wizara ya afya kule kuna msemaji wa Wizara nae ingebidi apate kibali kutoka mamlaka husika
 
Ni kweli mkuu, nini madhara ya kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania imekumbwa na mlipuko wa Zika?

Mtafiti hakusema kuna mlipuko bali ugonjwa upo. Kuna tofauti kati ya kauli hizo mbili na hiyo yako ndio inaleta taharuki. FYI ugonjwa wa Zika uligundulika Uganda na hivyo chances kuwepo Tanzania ni kubwa. Hata neno lenyewe ni.la Kiswahili.
 
Back
Top Bottom